Somehow for me huyu jamaa huwa namkubali kama siasa ataiweka pemboni zaidi akaamua kuwatumikia watanzania kwa dhati yake tunaweza kufanikiwa but let us wait.
Kila kitu wanapiga makofi hadi pumba wanajigeuza wao serikali badala ya kutimiza majukumu yao yakibunge kama ndiyo msingi wa kazi zao za kilasiku. Hatuna bunge kwasasa kwakuwa wote wamekuwa serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.