Jamani kila mkoa useme unaingiza timu ligi kuu itakuwa na zaidi ya timu 20. na pia kila Kabila lina vipaumbele vyao wachaga wamejikita kwenye biashara hivyo utakavyopandisha timu yako wao wataingia tenda ya kukukodishia hoteli nzuri na kukuuzia chakula kizuri. pia sijawahi ona orodha ya...
Ndugu shukuru Mungu kwa kukupa mke anayetafuta yaliyo ya Mungu maana maandiko yanasema mke aweza kumwokoa mumewe na mume aweza kumwokoa mkewe maana kwa Mungu mnahesabika kuwa mwili mmoja uliounganishwa na kristo. Je angekuwa anaenda disco kulewe umalaya kipe kiko sahihi nawe unaonekana una shida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.