Recent content by siriyaki

  1. S

    Kero ya baadhi ya Benki kukataa kupokea pesa mbovu kutoka kwa wateja wao

    Bado, kwa sababu ni tatizo endelevu Mfano jana nimeenda NBC tegeta wamezipokea elfu 90 kwa masharti kwamba nikipeleka siku nyingine pesa mbovu hawatazipokea kwa sababu BOT wanawahoji sana wao na pia wateja wanakaa kwenye folen muda mrefu.
  2. S

    Kero ya baadhi ya Benki kukataa kupokea pesa mbovu kutoka kwa wateja wao

    Yes wana uvivu fulan ambao unakera, kwenye swala hela mbovu wanaweza wakaona uvivu kuhesabu hivyo wakaamua kusema hawapokei
  3. S

    Kero ya baadhi ya Benki kukataa kupokea pesa mbovu kutoka kwa wateja wao

    Wahudumu nawakumbuka kwa sura ila majina sina
  4. S

    Kero ya baadhi ya Benki kukataa kupokea pesa mbovu kutoka kwa wateja wao

    Crdb Boko mianzini, TCB tegeta, NBC tegeta
  5. S

    Kero ya baadhi ya Benki kukataa kupokea pesa mbovu kutoka kwa wateja wao

    Nilifika TCB Tegeta, Afisa msaidizi wa manager akasema wao wanaulizwa na BOT wanatoa wapi pesa mbovu wakati huo nimeenda na Tsh lak 9 wakapokea laki 3 tu.
  6. S

    Kero ya baadhi ya Benki kukataa kupokea pesa mbovu kutoka kwa wateja wao

    CRDB Boko Mianzini, NBC Tegeta Kibo, TCB Tegeta.
  7. S

    Kero ya baadhi ya Benki kukataa kupokea pesa mbovu kutoka kwa wateja wao

    Wadau, mimi ni wakala wa shughuli za M-Pesa na za kibenki, nimekuwa nikipata shida sana ninapopeleka pesa mbovu benki ambazo nimezipokea kutoka kwa wateja ambao wanakuja kupata huduma ofisini kwangu. Watu wa benki wanasema pia wao wanahojiwa na BOT pesa mbovu wanazipata wapi? Wakati kiuhalisia...
  8. S

    SoC03 Uwajibikaji katika Uchunguzi , Tanzania na Afrika

    Utangulizi: Uwajibikaji ni msingi muhimu katika jamii yoyote iliyo na utendaji mzuri, ikilenga kuwafanya watu na taasisi kubeba jukumu la vitendo na maamuzi yao. Katika muktadha wa jamii na uongozi wa Kiafrika, uwajibikaji una jukumu muhimu katika kukuza utawala bora, kuimarisha imani, na...
  9. S

    HESLB wafungua maombi ya mkopo

    Data base, sikilizia mkuu
  10. S

    HESLB wafungua maombi ya mkopo

    Bodi ya Mkopo imefungua leo usiku maombi ya Mikopo kwa wanafunzi. Fungua link hii kufanya applications. https://olas.heslb.go.tz/index.php/olas/pre_applicant/ Kwa wakazi wa Tegeta, Boko , Bunju, Bagamoyo wafike internet cafe iliyopo boko chama kwa mawasiliano tuandikie email...
  11. S

    TUITION ZA KIDATO CHA NNE DAR 2021

    Wadau Habari? Msaada wa kujua vituo vya kufundishia Tuition vilivyopo Dar kwa ajili ya manafunzi wanaoingia kidato cha NNE au waliopo kidato cha nne. Ninandugu hapa katoka kijijini na anatamani kujifunza masomo ya msingi kabla ya kurudi shule.
Back
Top Bottom