Recent content by SIREN

  1. SIREN

    JamiiForums Tanzania Kufeli kwa mwanafunzi kunasababishwa na kufundishwa na mwalimu au mkufunzi asiye na uwezo wa kuwasilisha mada na kueleweka

    Kwanini na hao wengine wasiwe na juhudi za pembeni?
  2. SIREN

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sensa 2022, watanzania umri miaka 15+ wapo 29,842,718 na hao ndio wanasifa kupiga kura 2025. Tume ya uchaguzi itujibu 37,655,559 wanatoka wapi?

    Kwahiyo Sensa waligoma kuhesabiwa lakini kwenye kupiga kura wakakubali kujiandikisha? Mbona kama kuna kitu hakiko sawa hapo!!!
  3. SIREN

    JamiiForums Tanzania Kitabu Gani kimebadilisha maisha yako ungependa wengine wakisome

    Kwakweli hiki kimenifungua vitu vingi sana
  4. SIREN

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    ANAYETAKA KUJA IRINGA DC KUTOKA MOJA KATI YA MAENEO YAFUATAYO:- NJOMBE DC NJOMBE TC WANGING'OMBE MAKETE RUNGWE (MBEYA) IDARA ELIMU SEKONDARI
  5. SIREN

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    ANAYETAKA KUJA IRINGA DC KUTOKA MOJA KATI YA MAENEO YAFUATAYO:- MAFINGA TC MAKAMBAKO TC NJOMBE TC MAKETE IDARA ELIMU SEKONDARI
  6. SIREN

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wadau hii je, maoni yenu tafadhali. Code 67722BE sportybet
  7. SIREN

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    https://www.wasafibet.co.tz/share/MUCH8TA Wazoefu tupeane maarifa, nastake inagoma, why!?
  8. SIREN

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    http://www.sportybet.com?shareCode=16B1E0&c=tz Ushauri wenu tafadhali
  9. SIREN

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    ANAYETAKA KUJA IRINGA DC KUTOKA MOJA KATI YA MAENEO YAFUATAYO:- MAFINGA TC MAKAMBAKO TC NJOMBE TC MAKETE IDARA ELIMU SEKONDARI
  10. SIREN

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Ndio, cha msingi aongee vizuri na mkuu wake.
  11. SIREN

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    ANAYETAKA KUJA IRINGA DC KUTOKA MOJA KATI YA MAENEO YAFUATAYO:- MAFINGA TC MAKAMBAKO TC NJOMBE TC MAKETE IDARA ELIMU SEKONDARI MASOMO YA SANAA
  12. SIREN

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu habari!!! Naomba mwenye uelewa wa hizi odds za under/over, kwenye sportpesa wanaweka 1.25, 1.50, 1.75 zinamaanisha nini!? Maana huku kwenye kampuni zingine unakuta tu ni 0.5, 1.5 nk
  13. SIREN

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mwenye ujuzi wa hii ya single live games bet anisaidie kidogo, vitu gani vya kuzingatia!!?
  14. SIREN

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mwenye uzoefu na mikeka ya sportpesa tafadhali.
  15. SIREN

    JamiiForums Tanzania SoC01 Dhana ya Ndoa: Jinamizi hatari kwa Ustawi wa Wanawake na Hatma ya watoto

    Well said!! Mimi pia ni mhanga wa hiyo inayoitwa DHANA YA NDOA. Je, kama mlifanya hiyo SOGEA TUKAE kisha mkatengana kwa zaidi ya miaka mitatu na mmojawapo akafunga ndoa ya Kikristo, yule aliyebaki ana haki zipi kisheria?
Back
Top Bottom