Dah msimu huu tu nmeambulia patupu hekar 4 za ufuta nimerudia kupanda zaid ya mara 4 af mbegu nanunua mashamba nimekodi nalipa wafanyakaz ikabidi niache tu kwani mwishon walikuja panzi wadogo weusi wakala mche mche ndo mmea umeota tu, Ni maeneo ya Kabuku Tanga 😭.. badae nikahamia Singida kulima...
KIZUNGUMKUTI SEKTA YA MICHEZO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA BAJETI YA WIZARA YA MICHEZO, SANAA NA UTAMADUNI
Kwa miaka kadhaa sekta ya michezo imekuwa ikizidi kukua siku hadi siku na kujiongezea wafuasi ambapo katika mpira wa miguu ni eneo ambalo kwa sasa lina mashabiki wengi, pamoja na kuwa na...
UWAJIBISHWAJI WA SHIRIKA LA UMEME TANZANIA - TANESCO
Bila shaka tunatambua na kuona jinsi shirika letu la Umeme Tanzania ambavyo limekuwa likiendelea kutanua wigo wake wa kutoa huduma na kuja na mpango wa kuwafikia wakazi/wananchi waishio vijijini katika mpango wake wa ugawaji wa nishati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.