Nimekuja kutambua kuwa katika kutafuta kazi, hatupaswi kutumia nguvu na ujanja ujanja bali, bali ni katika kumtumainia Mungu. Maana yeye ndo anayejua hatima yetu.
Kwa maana nyingine kama kaz ipo ipo tu. Tumtumaini Mungu katika mambo yote. Nimemwamin amefanya kwangu. Nliwahi kutumia nguvu na...
inawezekana. Ila nakumbuka walisema wanata freshers wenye degree/advance diploma. Na pia direct entrant from colleges. Sasa nahc direct entrant wa 2013 hawakuwa na transcrpt. Pia weng hawakwenda ku certfy vyet mahakaman. So hapo kuna mambo hayajakaa vzur. Cju we unaonaje hlo ndugu yngu.
Jaman ni kwl chumba kinaweza kuwa kilijaa maombi,lakn je ni graduate wa 2013 kwl? Na kama ndyo je kwl wote walikuwa na matokeo? Afu pia chet cha darasa la 7. ? Kwa mantiki hyo kuna watu weng waliomba na hawakuwa na vgezo. Kwn tangazo lilitaka fresh graduate from school. So thnk of it!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.