Biot act ya mwisho ni 2008 kumbe na wee unaongea hujui bado hyo act ya 2014 haijawekwa kwenye website ya biot ebu ulizia mfanyakazi yeyote wa biot anaip mim mwenyew nina hicho kitabu
BOT ACT 2014 ambayo imetoka mwezi wa pili nmebahatika kuosoma leo ni kwamba kuanzia sasa mabenki yote yanapaswa kutambua hii mitihani ya kutoka TIOB kama NBAA inavotambua CPA hata hivo hyo itakuwa habar njema kwa wafanyakazi wa benk wenye hicho cheti mishahara itapangwa level ya hicho cheti...
Hi wanajamvi mi ni recent graduate kutoka ifm bachelor banking and finance nko kwenye harakati za kufanya mitihani hii ya cpb ila sjajua bado umuhimu wake maana hata kwenye matangazo ya kazi za kibenki hawaiweki tofauli ilivo kama cpa so kwa wale walio fuzu mitihani hii nipe angalau faida za...
wale huwa hwaiti hiv karibun hadi miez sita hiv mim nlituma mwaka jana.mwezi wa tisa wakaniita mwezi wa tatu mwaka ulofata so kma ulituma vuta subira bado xna ndugu labda september or october
Wana jamvi naleta ushauri huu kwenu mimI binafsi napeleka mashitaka kwenye hii bank ya posta inapotosha umma huwezi amini kinachofanyika pale ni upotoshaji wa umma mfano wanatoa nafasi za kazi ovyo ovyo bila utaratibu maalumu ili mradi waonekane wanatangaza kazi.
Mfano walitangaza nafasi za...
Ehee acha msikatishe watu tamaa wasiapply bwana hyo post sio.ya kupost ovyo imetoka nmb achen comment zenu za ovyo ovyo kama mtu huna qualification achen kua apply wengne wata apply sio kubeza wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.