Mpira fitna siku hizi...Tff wapo kimaslahi zaidi fitna hawazijui hata kama wanazijua basi wabahili kufanya hivyo.Maana Tanzania tukiwa nyumban hakuna tofauti na tukiwa ugenini.Tusipofanya fitna tutaishia kusindikiza wwnzetu tu miaka yote.
Nilikuwa naskiaga tu kuwa wanawake walimu wao Vipofu.Kumbe hii misemo ni kweli eeeh!Hainiingii akilini we u fall kwa mtu tu kupitia JF? Au una kale ka disease ka Kupenda? Dada amka wadada wengi sasa hivi wameamka CC wanaume tumejawa na maneno matam na nyimbo na mistari ya kimahaba pindi...
Mugabe Jembe na anajali sana wananchi wake ndio maana anakubalika.Rasilimali za Wanazimbabwe 90% Zinatumika na Wanazimbabwe Za kwetu hapa Marafiki zao wa nchi za nje na Mafisadi.Morgan anatumiwa na nchi za Magharibi ili waje kula Rasilimali za Wazimbabwe.Wazimbabwe wamelishtukia hili.Uongozi C...
Tatizo Simba uongozi wanauza striker Okwi wananunua kipa Mganda wakati wanajua hachezi na hatopata namba mbele ya Kaseja.Si bora wangenunua Striker.Rage bure kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.