Recent content by Sir Magesa

  1. S

    Mwalimu Ezekia Oluochi umewageika wanao kulipa?

    Mkuu unataka kusema kuwa walimu hawajasoma?
  2. S

    Mwalimu Ezekia Oluochi umewageika wanao kulipa?

    Adui wa mwalimu ni mwalimu mwenzie
  3. S

    Unaposafiri na Bus unapenda viti (seats) gani?

    mi napenda sana siti za mbele Ama pale jikoni ili niweze kusoma vibao mbalimbali vya njiani pamoja na kuangalia speedmita ya bus
  4. S

    Ada na Michango mashuleni kwa ajili ya mwaka ujao, imeagizwa kama kawaida!

    Labda Kwa masomo ya arts lakini Kwa masomo ya sayansi na hisabati bado sana.
  5. S

    Rais Magufuli: Hakuna sherehe ya miaka 54 ya Uhuru mwaka huu, Badala yake mkafanye Usafi

    Uhuru ukwapi mnasherekea uhuru??/ Uhuru wa kutowafilisi viongozi wakijiuzuru??
  6. S

    Wachimbaji wadogo waliofukiwa Nyangalata, waokolewa wakiwa hai baada ya kukaa siku 41

    Ni uwezo Wa Mungu uliowanusuru kuendelea kuwa hai Kwa taklibani siku 41. Waliishi Kwa kula mende, magome ya miti pamoja na kunywa Maji.
  7. S

    Betting online

    meridianbet
  8. S

    Kishimba azidi kutamba,lembeli azidi kunywea

    Hapa kahama ccm iko katika hali tete, Kishimba anatamani kujitoa maana ccm wanatumia pesa zake tu. Kahama ni mabadiliko Kwa kwenda mbele, Lowasa na Lembeli wanangojea kuapishwa tu
  9. S

    Kilichojiri Tanga hiki hapa

    Tukutane October 25 kura ni Lowasa tu
  10. S

    Vipi hali ya Jimbo lako, upepo unavumaje?tupeane updates!

    Kahama mjini hatuitaji kakakuona wala pweza wa ujerumani, hapa ni Lembeli na Lowasa tu.
Back
Top Bottom