Recent content by Sir M.D.Andrew

  1. S

    Mlioko mikoani hembu tujuze

    Kiswahili kinanipa shida sana,lipi neno sahihi 'hebu' au 'hembu'
  2. S

    Nimechoshwa na unene,sasa nimeamua

    Nafanya mazoezi sana,nimejinyima chakula nikaambulia madonda ya tumbo,asali,maji ya uvuguvugu,ndimu vyote nimetumia mwaka sasa unaisha,matunda mboga mboga mpaka zimenichosha-jana nimepandwa na ugonjwa wa ghafla nimepimwa naambiwa presha juu,uzito wangu sasa ni kilo 98 ukilinganisha na urefu wa...
  3. S

    Nimeitwa kufanya kazi SOUTH SUDAN-Nitoeni wasiwasi

    ahsante sana mkuu kwa habari hizo,naomba kama kuna wabongo wapo huko uniunganishe nao nikifika niwatafute ndugu zangu hao...hata kama wapo hapa wajitokeze tuwasiliane
  4. S

    Nimeitwa kufanya kazi SOUTH SUDAN-Nitoeni wasiwasi

    Habari jf members...i salute you comrades...nimekuwa nikiapply kazi nchini south sudan,niliwahi kufanyiwa interview online sehemu tatu tofauti tofauti,ya kwanza ilikuwa ni Kenana sugar industry near nile river basin kwa nafasi ya human resource manager,sehemu nyingine ni mradi wa kutokomeza njaa...
  5. S

    Lapf pensions fund- call for interview

    naona hawaja shortlist...wameita kila aliyeomba
  6. S

    Lapf pensions fund- call for interview

    Ahsante mkuu...nimesoma mpaka nikachoka sijaona jina langu,baadae nitaingia tena niendelee kusoma majina yalobaki maana ni mengi sana
  7. S

    Majina waloitwa interview lapf .....call for interview

    Simu yangu haina pdf,naomba unisaidie kuniandikia majina ya walotoka nafasi ya compliance officer
  8. S

    Lapf pensions fund- call for interview

    naomba kama unaweza kuniandikia majina yaliyotoka kwenye nafasi ya COMPLIANCE OFFICER
  9. S

    Naomba kufahamu ajira za makatibu tarafa

    Kwanini makatibu tarafa wana mishahara midogo hivyo inalingana na watendaji wa kata ilhali wao ni ngazi ya juu kuliko WEO?
  10. S

    Mshahara Wa Mwalimu (Maths, English Medium Primary School).

    kuna shule hapa wilayan kwetu mwalimu wa history na english analipwa laki tisa,pia wanapewa laki na nusu ya nyumba
  11. S

    Msaada:kwa wanaofahamu fursa zinazotangazwa clous fm....ni za aina gani...na zinahusu nini

    ujinga wa jf ni kuacha hoja na kukimbilia upuuzi! Hoja ya mkuu ni nzuri sana ila yameanza majibizano ya kijinga,kwanini usimtafute kwa pm halafu hoja yake ikajibiwa
  12. S

    Ajira za STAMICO

    Si kweli
  13. S

    Ajira za STAMICO

    Habari wakuu! Kuna yeyote anayejua interview ya kazi za stamico itakuwa lini,pia naomba kujuzwa kama wamesha shortlist--ahsanteni
  14. S

    samsung pc for sale

    Hizi computer ni mbovu ajabu,huwa hazina uwezo mkubwa mtandaoni,halafu ni nyepesi ku stuck,ninayo yangu naiuza laki 3
  15. S

    Nafasi za kazi Barrick

    Hizi ni internal wasio waajiriwa wa barrick hawapaswi kuomba
Back
Top Bottom