Recent content by Sir Luku

  1. Sir Luku

    Askofu Fredrick Shoo: Wale wote wanaojaribu kupotosha ukweli wa waraka wa Maaskofu kwa kuupaka matope ni wajinga

    Na hatutawaacha komaeni hivyohivyo Maaskofu ingawa mm ni mwislamu lakini nawapongeza sana kwa kauli zenu hizo zinazoangalia muskabari wa nchi inavyokwenda ila napata tabu sana kwa mashekhe wetu wamekaa kimya sasa cjajua kama haya mambo hawayaoni au ni vp
  2. Sir Luku

    Tunaporudi kazini jumanne.. Fao la kujitoa tusijisumbue kuulizia tena

    Weka wazi maelezo yore mkuu ili watu wakuelewe ikibudi ilete hiyo sheria inayoanza kazi kesho ili tuione Kwa maelezo ya harakaharaka niliyopewa kutoka ppf wanasema sheria hiyo inaruhisu kuchukua fao lako sheria hiyo inaitwa fao la kutokua na ajira
  3. Sir Luku

    Maandamano 26 April,Wizara ya Mambo ya Nje yawatoa hofu wageni

    Maandamano ni lazima hatuwezi kikubari kufanyiwa mambo ya kishenI
  4. Sir Luku

    Rais Magufuli: Maaskofu wahimize ujenzi wa viwanda vya dawa badala ya kuhubiri mambo yasiyo na tija kwa Tanzania

    Hana jioya SIZONJE yeye atubu tu ndio dawa Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
  5. Sir Luku

    Halima Mdee: Natamani hali iwe ngumu sana mpaka tukose Bajeti ya Ikulu

    Kwani mtanzania wa kawaida ananufaika na nini na serikali ya Tanzania?? Wanaonufaika ni viongozi tu
  6. Sir Luku

    Karume awakosoa viongozi, Balozi Mwapachu amuunga mkono

    Ni kweli wala hujakosea hii essey imechanganywa katika uandishi
  7. Sir Luku

    Karume awakosoa viongozi, Balozi Mwapachu amuunga mkono

    Manyumbu wa Mafiem lazima wakosoe hapo na karume mwenyewe ni Ccm
  8. Sir Luku

    Karume awakosoa viongozi, Balozi Mwapachu amuunga mkono

    Hahahaha hiyo ni Arts kaka kama uliikimbia ukaenda kwenye physics na chemistry lazima uone uvivu kusoma
  9. Sir Luku

    Kituo cha haki za binadamu, LHRC chatoa tamko kuhusu Abdul Nondo

    Huyo fala achana nae yeye alitaka akawafufue hao watu waliokufa huko kibiti mbona sio kazi yake huyo bikijo kazi ya bikijo ni kutetea haki za binaadamu na sio kukufua watu
  10. Sir Luku

    Kituo cha haki za binadamu, LHRC chatoa tamko kuhusu Abdul Nondo

    Ulitaka akawafufue hao watu waliokufa huko kibiti au ulitakaje
  11. Sir Luku

    Kituo cha haki za binadamu, LHRC chatoa tamko kuhusu Abdul Nondo

    Kwahiyo ww ulitaka akawafufue hao watu waliokufa kibiti au ulitakaje??
  12. Sir Luku

    Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

    Hajielewi huyo unaemuuliza polisi wako chini ya Wizara gani kwani Huyo waziri alipoongelea inshu ya Abdul Nondo ilikua chini ya nani si aliingilia tu
  13. Sir Luku

    Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

    Kwani alipoongelea inshu ya Abdul Nondo ilikua ipo chini ya nani Shangazi yako??
  14. Sir Luku

    Hivi Simba watacheza na Mtibwa leo?

    Upumbavu ni kuaachanganya watanzania wote wakati ww mwenyewe ni Mtanzania
Back
Top Bottom