Recent content by Sir Khan

  1. Sir Khan

    Figisu Hatimae kufukuzwa kazi

    Kwa maelezo yako wewe ni jambazi na msaliti ambaye masilahi yako unayaweka juu kuliko usitawi wa kampuni au taasisi. Ufisadi uliotaka kufanya kama ungefanikiwa huenda ungesababisha kampuni kupigwa faini kubwa au kufutiwa vibali kwa sababu tu ya wewe mkora mmoja. Upo kwenye kampuni unapanga...
  2. Sir Khan

    Naombeni mbinu za kumpata Mwanamke wa Ulaya

    Sasa wewe doogoo......enewei!
  3. Sir Khan

    Uzi maalumu kuwaenzi Waandishi wakongwe kwa njia ya kuweka misemo au nukuu maarufu kupitia vitabu vyao

    "In Lagos it doesn't matter what you know but who you know" -A man of the people by Chinua Achebe.
  4. Sir Khan

    Je huyu ni ndugu ama ni familia...!?

    Kuna aina tatu za familia; 1.familia ya mzazi mmoja (baba au mama) na watoto. 2.familia ya baba,mama na watoto. 3.extended family, ambayo inahusisha baba,mama,watoto na watu wengine kama wajukuu,mabinamu,mashemeji,wajomba,watoto wa nje na watu baki. Ndugu ni nani? Ndugu ni mtu ambaye mna...
  5. Sir Khan

    Dhana ya "kusaidiana" maisha na mwanamke katika utafutaji ni ya wanaume dhaifu na wajinga sana

    Mkeo akiambiwa na boss wake akafanye kazi mkoa mwingine kwa wiki kadhaa,wewe mwanaume bwege mkeo badala ya kuomba ruhusa yako anakupa taarifa tu kuhusu hiyo safari na utake usitake huwezi kumzuia kwasababu unategemea kipato chake na boss wake anamamlaka juu yake zaidi yako. This is why I always...
  6. Sir Khan

    Dhana ya "kusaidiana" maisha na mwanamke katika utafutaji ni ya wanaume dhaifu na wajinga sana

    Mke kama anafanya kazi aliyopewa na Mme wake kama kusimamia biashara ya familia,kusimamia mifugo au mashamba ya familia hapo hakuna tatizo. Lakini zile kazi ambazo mke anakuwa chini ya boss ambaye anasikilizwa na kuheshimiwa kuliko mme hazikubaliki kwa Mwanaume anayetaka kujenga familia imara...
  7. Sir Khan

    Tafakuri: Madaktari bingwa wa wanawake kuwa wanaume imekaaje?

    Kama ndio hivyo je unaweza kumtia vidole na kumzalisha mama yako? No hard feelings.
  8. Sir Khan

    Tafakuri: Madaktari bingwa wa wanawake kuwa wanaume imekaaje?

    Mleta mada naungana na wewe.Kwenye mambo yanayohusisha sehemu za siri ni vyema kila jinsia ikashughulikiwa na wataalamu wenye jinsia sawa. Naona watu wanajisahaulisha kesi za madaktari kubaka wajawazito ambazo zimekuwa zikiripotiwa mara kwa mara. Zamani huko vijijini wakunga wote walikuwa...
  9. Sir Khan

    Mambo ambayo Makonda unapaswa kuanza nayo mara moja Arusha kama kweli unataka uonekane kiongozi bora

    Mleta mada wewe ni MPUMBAVU mkubwa.Karibu mambo yote uliyotaja sio majukumu ya RC na hili unalijua lakini kwasababu ya chuki yako kwa Makonda umeshindwa kuficha UPUMBAVU wako.
  10. Sir Khan

    Kwanini kizazi cha sasa kinalinganishwa na kizazi cha jana? Hili ni kosa kubwa!

    Hakuna sababu ya msingi ya kuhalalisha hizo tabia za kisenge kisa tu mzungu anazisapoti. Wajinga kama wewe mnawachukulia wazungu kama miungu fulani ndio maana mnaona fahari kuiga tabia zao mwisho wa siku mnakuwa mashoga. Narudia tena,acheni tabia za kisenge.
  11. Sir Khan

    Kwanini kizazi cha sasa kinalinganishwa na kizazi cha jana? Hili ni kosa kubwa!

    Vijana msivae hereni,kutoboa pua,kupaka make up na kusuka nywele kwa kisingizio eti zama zimebadilika. Acheni tabia za kisenge.
Back
Top Bottom