We nae ni MPUMBAVU wa hiari.
Ninani asiyejua kuwa muda wa rais Samia kukaa madarakani ni chini ya miaka 5? Na baada ya hapo anaondoka Kama walivyoondoka waliomtangulia.
Hata Kama una chuki jaribu kutumia akili.
Kama wanaleta upumbavu washughulikiwe kwa ubabe .
Huwezi kuharibu,kuchoma na kuiba mali binafsi na za umma halafu utegemee utaachwa tu kisa demokrasia.
Kichapo kiendelee.
Una ushahidi kuwa Mimi nimeshiriki kuua watu?
Kama wewe unanitungia Mimi uongo, Kuna shida Gani serikali na polisi wakitunga uongo na kukufunga jela bila kosa.
WAPUMBAVU Kama wewe mkipata madaraka mtaua na kuwatungia kesi za uongo watu wanaopinga mawazo yenu.Wanafiki wakubwa.
kwahiyo kwakuwa watu zaidi ya 10k wamekufa, sisi tuliobaki hatuna haki ya kutoa maoni yetu na kuleta mada isiyokufuraisha hapa jf?
Wewe na wenzio ni madikteta WAPUMBAVU mliokosa madaraka.Watu Kama wewe hata mkifa million kumi sijali.
Kama wewe hunijui unanitungia uongo kuwa nalipwa elfu 7 kutetea serikali.Kuna shida Gani serikali na polisi wakitunga uongo na kukufunga bila kosa? Au mkuki kwa nguruwe....
Unaona ulivyo MPUMBAVU ?
Kwa akili yako mtu akikisoa mawazo yako tayari anakua ni uvccm?
Siipendi ccm Ila Bora kutawaliwa na ccm kuliko kuwapa madaraka WAPUMBAVU Kama wewe ambao ni wabaya na madikteta zaidi ya ccm.
Ccm iendelee kutembeza kichapo kwa watu Kama wewe.Kama mtu hataki kusikiliza na...
Jf Kuna nyuzi zaidi ya 10000.Kama Kuna mada haujaipenda pita kushoto.
Ni MPUMBAVU pekee ndiye atafungua Uzi asioupenda halafu aanze kulia lia Kama litoto.
Man up.
MPUMBAVU ni wewe unayetaka watu wapost kile kinachokufurahisha tu halafu unajiita mwanademokrasia.
Mtu Kama wewe na WAPUMBAVU wenzio mkipata madaraka mtakuwa wabaya Kama au zaidi ya ccm.
Hili ni jukwaa huru.Watu watapost chochote hata usichokitaka.Kwa ujinga wenu mnajiita wanademokrasia lakini hamtaki watu wawe na mtazamo na hoja tofauti na zenu.Nyie ni madikteta mliokosa madaraka.@Choosen85
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.