jamani mwenye mawasiliano yoyote ya bandari ya tanga naombeni mnisaidie nina hitaji kwa lengo la kuwasiliana nao nikafanyie field kule.TAFADHAri i beg you all
:flock:Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha mwenge(moshi).ninasomea hesabu na takwimu (BS IN MATHEMATICS AND STATISTICS) hivo basi mwezi ujao (mwezi wa pili) tunatakiwa kufanya fieldwork katika mikoa ifuatayo:-kilimanjaro,arusha,tanga, dar es salaam,mwanza, manyara. au sehemu yeyote ile kwa mwanafunzi...
KIUKWEL MI BINAFS NIPO MWENGE 1ST YEar wametukaribisha vizuri ila cha kushangaza wachaga wameweka wanafunzi vitega uchumi kwani wanatupangishia vyuma kuanzia elfu hamsini kwenda mbele
HATA MWENYEWE NILIVOIONA NIKAJUA JAMAA AN DETAIL ZOTE KUMBE MAGUMASHI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! KWANINI WANA TUNAPEANA:flypig: PRESHA WAKATI WENGINE VYUO VIMESHAFUNGUA
kwanza nawashukuruni kwa kazi yenu nzuri ya ku2dokeza new alert kuhusiana na mambo kadha wakadha but jaribuni kutupa vitu ambavyo ni kweli mmevitafutia ukweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.