Wewe unazungumzia kusaliti mimi demu nikimtongoza tu anipe jibu ndio au hapana sitaki danadana, akianza danadana namkoromea halafu nakausha, unanikataaje kwa mfano, au unichukulie poa sitaki nataka hapo umenidharau na ndio imeisha hiyo, sitaki utoto kwenye mahusiano.
Hawa bwana walikuwa hawapendani, ni njaa zao tu ziliwafanya waishi pamoja lkn kila mtu alikuwa na mipango yake pembeni, hakuna mapenzi ya dizaini hiyo sijawahi kuiona
Sio wakuja mjini, huyu hajawahi kufika mjini, waliowahi kufika mjini hawawi washamba kupindukia kiasi hichi, hivi ameshindwaje hata kumwambia ukweli alipokosea ili kutatua matatizo yao, na pia kama mwanamke unampenda kweli linapotokea tatizo la kuhatarisha mahusiano yenu hushindwi kumwambia...
Mtoa mada wanazungumzia watu wenyewe ndio kama wewe isipokuwa ni tofauti kidogo wewe huombi hela wala hujibu pm, Sasa Sema hapa hapa unataka milioni ngapi ili uweze kujibu pm yako? Wenzio huomba niwakatie ticket za ndege ili wanifate nilipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.