Wakati ccm mkihangaika kuifuta chadema ,huku dodoma chadema wanapigania watoto wa wenye kipato cha chini kufanya mitihan na wamefanikiwa wakiwemo na wana ccm ambao wameruhusiwa kufanya mitihan baada ya chadema kuwafata viongoz wa kitaifa baada ya serikal ya wanafunz kugomewa na chuo, sasa ninyi...
unataka kujua ya zitto? Muulize kafulila na hamad! Ni haki yake kujichelewesha kutoka kwan ana hamu ya kuvaa gwanda, ila hana nafas tena ndan ya chadema, tunasubil kesi iishe, na ukumbuke kuwa mahakama itafanya kuwaomba chadema kuitisha baraza kuu na si kuwalazimisha kwan hawawez kwa mujibu wa...
Unafik wa chama changu chadema kama tittle yako isemavyo,utaisha pale mkewako akifa leba kwa huduma mbovu na magazet yakatazwe kuripot, kwan ukiripot kitu cha kwel unaambiwa vingine secret, hiyo secret imetoka vp waandish wakaipata? 'mishahara mipya" wanaficha nini hapo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.