Habari za Jioni wana JF naomba niweze kupata platform gani Tanzania kwa sasa iko safe and Haraka kwa Kufanya manunuzi kwa Njia ya Mtandao?. Maana nasikia kwa Sasa KIKUU Wanasumbua sana.
ASANTE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za Jioni wana JF naomba niweze kupata platform gani Tanzania kwa sasa iko safe and Haraka kwa Kufanya manunuzi kwa Njia ya Mtandao?. Maana nasikia kwa Sasa KIKUU Wanasumbua sana.
ASANTE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hellow Jamii Forum, nahitaji sana kupata hiyo DVD ya Eclipse AVN440 5D kwa ajiri ya Ku unlock Car Radio, na hii inakuja baada ya Kuchomoa Betri ya Gari, then Bahati Mbaya Ni kuwa DVD yake nilikua tayari nimeipoteza.
Once kama kuna mtu akiwa nayo humu, hata kama yuko Mbali anaweza Share nami...
Simu ya TECNO CX nikiweka 3G only inashuka mtandao inabak Bar Moja tu and speed inashuka sana, Msaada kwa hili Guys. Je, naweza pata Screenshort tutorials za kucheza nayo kwenye hardware? Nisaidieni Ujanja NOTE: Nina vifaa vyote vya ufundi.
Tecno Camon CX Imetumika only 2 Months. Bei ni 250,000 hadi 200,000 mwisho.
Specifications zake:
5.5-inch IPS Display, 1080 x 1920 pixels (400ppi)
1.5GHz octa-core Mediatek MT6750T CPU with 2GB RAM.
Android 7.0 (Nougat) with HiOS 2.0.
16GB Storage with support for memory card up to 128GB...
Jamani kuna simu ya TECNO CX Ambayo fundi alichange touch screen and system charge, sasa baada tu ya zoezi hilo naona Network yake iko chini sana (Bar Moja), had sometimes nikiweka 3G only then nipo ndani ya chumba inapotea kabisa Msaada. NOTE: Kwa Technical issues hata kama uko mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.