Big up Prof J!kauli yako inaonyesha jinsi gani ulivyokuwa kamanda mzoefu.
Shime kwa vijana wengine tuamke kwa pamoja ili tuikomboe nchi yetu.
wapi Diamond,Ali kiba nk?.fuaten nyayo za pro J.
Nimekusoma ndugu
oh Mr G.Lema!,hivi nae ameshaenda uk hv karibuni?back to my issue,nataka nifahamu hv inawezekana ktk mahakama zetu kukawa na private hearings kwa issue kama hizi za ubakaji ili kumantain status za hawa waathirika wa ubakaji?
mfano;
inapotokea tunaombwa kuchangia issue kama za harusi au sendoff mara nyingi huwa tunachangia kwa ushindani sana malaki kwa malaki,
sasa omba mchango kwa ajili ya matibabu au ada ya kulipia masomo utalijua jiji yaani HUTASOTA WEEEE hadi wafa au utafukuzwa shule .
TUBADILIKENIIII
Una dada yako ambaye ni mjamzito baada ya kubakwa na kutokana na hiyo issue kutoa hiyo mimba anataka ila anahofia kuua kiumbe kisicho na hatia tumboni na kuiacha hiyo mimba anataka ila ana hofu huyo mtoto atakuwa anamkumbusha tukio la kubaka kwake sasa utamshauri nini?
Naomba mawazo yenu ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.