Recent content by Singunda Jr

  1. S

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    Kama kuna mwl bila kujali ni wa dini gani na anaefundisha Tanga, Pwani, Mafia, Lindi, Liwale, Nachingwea, Tandahimba nyumbani kwetu, Newala, Ruangwa hebu pimeni elimu imewekwa kwenye kundi gani mtapata majibu. Dawa ni kuijali elimu, kusoma kwa bidii na kutambua kuwa elimu ni gharama na ya thamani.
  2. S

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Chumvi ya mawe ndo mpango mzima.
  3. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwalimu idala sekondari kutoka Lindi-Nachingwea anataka kwenda Morogoro, Iringa au Mbeya mchek kwa 0659466436
Back
Top Bottom