Hapa sasa ndio napata jibu kama wangekuwa wameunganisha hiyo mifumo wangeomba nida ya nini? Au kadi ya mpiga kura ya nini wakati kwenye hiyo database umo??
Siku chache zilizopita nilikuwa na fikra za kuwaona Wakenya kama ni ndugu wa Watanzania. Lakini nimebaini nyie sio ndugu wala hatupaswi kuambatana nanyi abadani.
Tanzania ni Jamhuri inayojitegemea na ina utaratibu wake wa kujiongoza. Hatuna unasaba wa kupeana maelekezo ya nini tufanye kwa tamaa...
Mwamba
Hauko pekeyako. Jipige kifua sema Mimi ni Mwanaume songa mbele na life. Hata unaotuomba ushauri humu tushagongewa saana.
Tafuta pesa, hujamkuta bikra huyo. Na unavyozidi kumpendezesha ndivyo anavyopata hamu ya kuwekwa na wengine😃😃 relax man huzalia ili uumie
Dar imechachuka bhana golugwa mwenyewe kasema makamanda watia nia waendelee kujiandaa. Na watia nia wetu kwa street wanaendelea kutupush tupate vile vitambulisho ndio kujiandaa kwenyewe.
Nimepishana na vispika vya act doing the same.
Kwani ili wananchi wakajiandikishe wanahitaji hamasa gani zaidi ya kujitambua wao na wajibu wanaopaswa kuutekeleza?
Hao ccm wanaenda kuwabeba watu wao wakajiandikishe?
Kama vijana watatambua kwamba wanapaswa kushiriki vizuri kwenye masuala yanayohusu uraia wao kuliko kuandamana mitandaoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.