NILIMDHANIA KAHABA KUMBE BIKRA
MTUNZI: SINGANOJR
Mono no aware.
SEHEMU YA 697
Kusikia maneno yale ni kama vile yamefungua fundo ambalo lilikuwa limejifunga funga kwenye ubongo wake.
Mpaka pale Edna alijiambia kuna kitu ambacho alikuwa amesahau , kama kuachana kunazuia matatizo kutokea...
NILIMDHANIA KAHABA KUMBE BIKRA
MRUNZI: SINGANOJR
Mono no aware
SEHEMU YA 694.
Ilikuwa ni kama Roma alivyokuwa ametegemea , kwani ile anafika katika makazi ya Mzee Sharif yaliopo Bagamoyo aliweza kukuta vurugu zilizokuwa zikiendelea.
“Ndio mmeanza vurugu?”Aliongea Roma mara baada ya...
SEHEMU YA 595
Roma kwa haraka sana kumbukumbu zake ziliweza kurudi siku ambayo alikutana na Kizwe pamoja na Lekcha ndani ya Club B , Lekcha wa kipindi kile alikuwa wa kawaida sana na hakuwa tishio lakini Lekcha ambaye anamuona mbele yake alikuwa ni mwingine kabisa.
Kwa mtu mwingine angepingana...
SEHEMU YA 591.
Ni nje kidogo ya jiji la Kigali katika mlima uliofunikwa na msitu wa miti alionekana Denisi amesimama kando kabisa ya nyumbas ambayo imetengenezwa kwa mabanzi kama banda huku nyuma yake akiwa na wanajeshi wake.
Macho yake yote yalikuwa yakiangalia upande wa jiji la Kigali kwa...
SEHEMU YA 589.
Wanajeshi wote hakuna ambaye aliamini kama Kamanda wao ndio amekufa hivyo ,ilikuwa ni kama vile wapo ndotoni na muda wowote wangeamka na kuona sio kweli.
Kamanda mwenye cheo cha ubrigedia jenerali alikuwa amekufa kiwepesi kwa namna hio .
Matendo ya Roma yaliwaambia kabisa...
SEHEMU YA 587.
Ni muda mchache sana ambao Raisi Senga alikaa ndani ya nyumba hio na kuondoka , huku akiaga kabisa anarejea ikulu ya Dar es salaam.
Upande wa Roma alijikuta akiwaza sana juu ya picha ambazo alikua ameonyeshwa , aliona kitendo kilichofanyika kilikuwa cha kimakusudi kabisa ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.