Father Dallu hana mapindo mapindo!
Endelea kunyooka hivyo hivyo ww ni mtumishi wa Mungu hakuna kuangalia maslahi ya mabeberu wa Ulaya ama vibaraka wao.
Well done Hon. Bishop.
Sawa,lakini ujumbe umefika,atulie aache kukurupuka huyo dogo hii ni ccm huwezi kuropokea mkutano wa viongozi namna ile hadharani na huna wadhifa wowote.
Msendo hovyo kabisa!!
Unahamasisha,hata ww ni CHADEMA"chukua panga.
Nani hajui kama ni nyinyi kwa nyinyi kutafuta huruma wa wananchi, mtamalizana hata kura za huruma hampati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.