LEO WANA MAN U TUWE NA IMANI TUNASHINDA NIMEIANGALIA NEWCASTLE YA STEVE BRUCE NI WABOVU BALAA KULIKO SISI... WANACHEZA 5-4-1 MUDA WOTE WAKO NYUMA.. NINA IMANI TUKIPATA KA GOLI KAMOJA KAMA KAWAIDA YETU MSIMU HUU WAKUFUNGA KAGOLI KAMOJA BASI HAWA JAMAA HAWAWEZ KUKASAWAZISHA... ILA WAKISAWAZISHA TU...
Daaa jukwaa hili siku hizi limekuwa ni sehemu ya kuuza line na story za kufungua accounts betting company.... No more tips za mikeka kama zamani.. Yan daaa Aisee linaboa balaaa
Kwa wale ambao ni wachanga ktk game ya boxing let me tell you that on April 21 2001 Lenox Lewis was knocked out by underdog Hasim Rahman in south Africa... Kumbuka kabla ya pambano hilo Lewis alitoka kumpiga evender hollyfield... Wengi walishangilia jinsi lenox Lewis alivyopigwa kwa KO na...
HAHAHAA ULIKUJA KWA kasi sanaa kijanaa.. unakumbuka zile post zako za nyuma ulizokuwa unawacheka sana na kuwatolea maneno ya kebehi watu ambao mikeka yao imechanikaa.... huku ww ukijinasibu kuwa ni mtaalam na hao jamaa wataliwa sanaa.. Kikowapi sasa mbona unaanza kulialia... Kumbe na wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.