Recent content by Sindano moja

  1. S

    Aliyevamia Kiwanja cha mwingine kwa miaka 20 Mbezi Africana avunjiwa ghorofa

    Tatizo rushwa,asiingenda Waziri,isingebomolewa,watu wangechukua Chao na kuondoka!!!
  2. S

    Spika Tulia: Tusichanganye Maadili ya Mtanzania na Imani za kidini. Lipi kosa la walimu waliosimamishwa kazi Kwa kucheza muziki? Warudisheni kazini

    Ni kweli Kuna viongozi hawatofaitishi kati Imani au maadili ya kidini na maadili ya jumla ya Mtanzania
  3. S

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Vituo vya afya kweli mmjenga vingi,lakini sehemu zingine,wananchi wasita kuvitumia kutokana na gharama,mtu anaumwa kituo Cha afya Cha mpuguso huku Tukuyu kwa mfano,kumwona daktari eti 8000,mtu anasema Bora angenda moja kwa Moja duka la dawa nikanunue dawa za malaria tu,
  4. S

    Pongezi za Halima Mdee, Zitto na ACT Wazalendo, namuona Mdee aliibukia ACT 2025

    Kwani mdee ni mwanaume au mwanamke? Ana mtoto?
  5. S

    Rais Samia: January Makamba alitaka Trilioni 11 kuifumua upya TANESCO

    Za kula tu hizo,Tanesco ataiacha Kama alivyoikuta
  6. S

    Rais Samia awaapisha Viongozi wateule leo Februari 15, 2023

    Madereva wengi hawazingatii Sheria ya ku-overtake,kwenye kona,kwenye mwinuko,wanaen dekeza mzoea mbona jana nilipita
  7. S

    Bashe amewakuta Watanzania wananunua kilo ya mchele 1,800 sasa wananunua 3,500

    Bashe is too young mentally,and experience wise,to make sure the country have enough food and at affordable price
  8. S

    Watanzania watu wa ajabu, wanapenda maendeleo lakini hawataki kugharamia hayo maendeleo kwa kodi

    Wewe unaona double taxation,ni sawa tu kisa zinajenga madaraka? Huko ndo kujikomba!!!! Sasa hivi unaoneka utakuwa utamaduni wa mta nzania " KUJIKOMBA"
Back
Top Bottom