Habarini wadau.
Kama ilivyo ada leo mapema asubuhi kichovu nikijongea stendi kudandia usafiri kuelekea kwenye mihangaiko ya kila siku, maana sikuizi unalala umechoka unaamka umechoka sijui labda ni mapambano ya kila siku bila kujali weekend ama laa! inapalekea tunakuwa wachovu kiasi hichi...
Habarini wakuu, natumaini mu wazima.
Moja Kwa Moja kwenye mada,
Kadri siku zikienda najikuta hili swali liendelea kuwa na uhalisia,kwamba nini Lengo la formal education Kwa nyakati hizi ikiwa haitatui matatizo iliyopaswa kuyatatua .
Kama Elimu ilipaswa kuanda watu wenye udhubutu na maarifa ya...
Salamu wanajamvi.
Niende kwenye mada moja kwa moja.
Tuishi nao kwa Akili, ni moja ya msemo uliotolewa kwenye maandiko na watu wengi hupenda kuutumia pale linapozungumziwa suala la kuishi na mwanamke.
Mimi nawaza toafuti kidogo maana naona ukitumia Akili yako yote kuwaza na kuwazua jinsi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.