Kwa mwanamke anayetafuta mume tafadhari ni pm tuzungumze privately,mimi kwa kifupi ni mwajiriwa, na hold degree 1. uwe na umri kati 25-35 mengine nitakwambia ukija pm.Its serious no jokes pls
Ukijitoa kumpenda mtu na kumpa kila kitu, halafu huyo mtu akashndwa kujua jinsi gani anapendwa na wewe akakuumiza, hupaswi kujilaumu.
Anapaswa yye kujilaumu kwa kukosa kusoma alama za nyakati kwamba anapendwa na mtu sahihi na anapewa mapenzi sahihi .
Atakuja kujua baadae sana kwamba kuna mtu...
yes bro!u have said the truth,ni kama unazungumza na mimi kibinafsi, nimefanyiwa ivo aisee, lakini poa maneno yako yamenifariji japo sijui hata nianzaje upya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.