-Nala ni Tsh 6,000
-Chahwa ni 5000
-Ipala ni 5000
-Vikonje ni 8000
-Mtumba ni 14,000 na hakuna installment.
_Mahoma makulu ni 12,000
_iyumbu ni 15,000 hakuna installment
Kwa mwanzo unaanza kulipia asilimia 40% ya Total price alafu asilimia 60% unalipia ndani ya miezi 11 hiyo 60% tutaigawa ndani ya miezi 11 iliyo baki, ukiwa na ombi pia tutakusikiliza
Kwa mahitaji ya Viwanja ndani ya jiji la Dodoma nunua kupitia kampuni ya #BlueSkyRealEstate. Viwanja ni vya uhakika na unaweza kulipia kidogo kidogo mpaka mwaka mmoja (Miezi 12). Kama utalipia cash utaweza kupata punguzo la mpaka kufikia asilimia 10%.
Kampuni imepima na inauza viwanja maeneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.