Kuna tetesi kwamba mtu akiagiza electronic device kama simu, laptop na vitu vingine kwa sasa kifaa hicho kikifika mnunuzi anapaswa kuomba kibali TCRA,mwenye kufahamu ili atujuze ni ukweli au propaganda?
Kwa hali ya kusikitisha maeneo mengi sana ya Tabata yamekumbwa na tatizo la maji, ni zaidi ya mwaka lakini DAWASA imekuwa ikitoa majibu yaleyale kwamba watu wawe wavumilivu huduma itarejea.
Wito waziri afike ajionee msoto wananchi wanaopitia, kuanzia Tabata maeneo ya viwanja vya benki, Segerea...
Ilikuwa yapata majira ya saa moja kasoro asubuhi,kama inavyoonekana kwenye video mitaa ya moshi ililindima kwa shangwe za baraza la wanawake wa CHADEMA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.