Kuhusu elimu tunajidanganya, zanzibar huenda wako vizuri zaidi yetu..
Angalia illiterate rate kati ya Zanzibar na Tanganyika angalia pia rate ya wanafunzi waliopo Sekondari to general population, au idadi ya Universities per general popolation.
Bado jamaa wanapata nafasi za scholarship nje...
Naunga mkono hoja, iwe siku maalumu tukumbuke matendo yake ya kihistoria...
Tukumbuke mauwaji hasa kule Zanzibar na wizi wa kura aliyofanya siku za uchaguzi, waliotekwa kipindi cha uongozi wake, waliofukuzwa kazi, waliofilisiwa, walioibiwa fedha zao kwenye ofisi za kubadilisha fedha za kigeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.