Kuna vitu vingine ni bora kukaa kimyaa pia kutokujibu ni busara zaidi hivi kwa akili za kawaida wewe unaisi ni nani alihusika na kupigwa kwake lisasi?hivi unaitaji Degree kulijua hilo?
Ndugu zangu nina mpango wa kuanzisha biashara yangu ya online retailer business sasa nataka kufungua co, ili niweze kuiregister na kupata license sasa shida ni jina humu ndani hamuwezi kushindwa kubuni jina atakayefanikisha hilo basi $250 jina litakalokuwa na mvuta wa kibiashara .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.