Recent content by simon lunogelo

  1. S

    Ukuaji uchumi: Benki ya CRDB yapata faida ya shilingi 118bn

    Ukiona MTU anasifia kitu kwa kujitoa uelewa jua ya kuwa ana njaa ya kila kitu kwenye maisha yake na kwa kuwa ukweli unajulikana sisi tuliosoma tukaelimika tunajua uchumi umeshuka.
  2. S

    Maggid Mjengwa: Nape Hakwenda Na Midundo, Ilikuwa Ni Lazima Aondoke

    Ana njaa huyo ndiyo maana amishiwa pointi kwa hiyo kukosa nidhamu ni pale unashughurikia mambo ya ukweli umeishiwa mawazo sana unasema alivyotolewa uwaziri nidhamu imeongezeka kwani kuvamia clouds nidhamu iliongezeka au ilipungua
  3. S

    Tatizo si vyeti- ni kuelimika

    Kama huna cha kuandika watu wakakuelewa acha maana itakuwa mjinga sana kuwaelimisha watu walioelimika na hill jambo lako.
  4. S

    Nape Nnauye kuongea na wanahabari

    Yote haya yalitabiliwa tunasubiri.
  5. S

    Mwanahabari Jerry Muro ahoji uhalali wa tume ya Mhe. Nape Nnauye

    Njaa inawasubua mnazidi kujipendekeza.
  6. S

    Awamu ya 5 , kama ni lazima propaganda zenu zitolewe na RC basi tafuteni RC mwingine , huyu kaisha.

    Nilifikiri mwisho atasema vyeti vyangu ni hivi hapa kumbe anajisifia wakati hana sifa ni aibu kwa kiongozi kuto jibu tuhuma.
  7. S

    Wabunge wa CCM waliopanga kumuona Lema gerezani waonywa, waitwa wasaliti

    Inawezekana ana pepo ndiyo maana anaomba kuombewa na wachungaji na mashehe.
  8. S

    Makonda, onesha Vyeti vyako halali wanaokutuhumu waaibike

    Cheti kina mahusiano gani na Richmond mbona umepaniki mwambie aonyeshe cheti ndiyo shida ya njaa umetumwa uandike hayo nenda kafanye kazi upate hela achana na umbea Wa kujipendekeza ili upate hela
  9. S

    Kiusalama, Tundu Lissu kumwambia Rais kuwa "ameropoka" ni kosa kubwa sana

    Nani anatunga sheria inaonekana huelewi majukumu ya raisi omba uelimishwe.
  10. S

    Msanii namba 1 Afrika kwa sasa, Diamond Platnumz ajenga nyumba ya Ibada (Msikiti)

    Harafu acheni kusema msanii bora afrika huyo bado sana.
Back
Top Bottom