Ukiona MTU anasifia kitu kwa kujitoa uelewa jua ya kuwa ana njaa ya kila kitu kwenye maisha yake na kwa kuwa ukweli unajulikana sisi tuliosoma tukaelimika tunajua uchumi umeshuka.
Ana njaa huyo ndiyo maana amishiwa pointi kwa hiyo kukosa nidhamu ni pale unashughurikia mambo ya ukweli umeishiwa mawazo sana unasema alivyotolewa uwaziri nidhamu imeongezeka kwani kuvamia clouds nidhamu iliongezeka au ilipungua
Cheti kina mahusiano gani na Richmond mbona umepaniki mwambie aonyeshe cheti ndiyo shida ya njaa umetumwa uandike hayo nenda kafanye kazi upate hela achana na umbea Wa kujipendekeza ili upate hela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.