Recent content by Simon lenana

  1. S

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Ataliwa week ijayo viwili ila kwa mbiiiinde sana
  2. S

    Verzuz: Mary J. Blige vs. Toni Braxton (part 4)

    Hakuna cha kujadili hapo, Toni ni balaa nyingine
  3. S

    Hizi ndio muvi 9 nilizozikubali mwaka huu 2022

    Tena aombee Sana, maana yeye kaona Negative side, Sasa watoto wako waje negative ni Chanya, utaitika bila kuitwa[emoji35]
  4. S

    Namna ya kuangalia jina la mmiliki wa gari kupitia plate number

    Kama huyo kaingia nyuma ya tela kafa, anatangazwa Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
  5. S

    Natafuta kazi za kuendesha malori, Semi, Actroce au magari ya mafuta

    Usimvunje Moyo, Mimi naendesha magari makubwa nimesoma mpk Nairobi kwa KAZI hiyo, nilimfundisha mtu Gari kubwa kuanzia Mwanzo nikampa skills zote nilizo nazo, Sasa anaendesha magari makubwa na hawezi kabisa kuendesha Ndogo[emoji3][emoji3] Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
  6. S

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Akirudi aanzeNa Roma Wako Chumbani na Edna bana Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
  7. S

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Niko muhimbili hapa nimepata mtoto wa Kiume nimempa jina Roma Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
  8. S

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Mi Wala sisomi mengine, naisubiria hiyo episode magge akiliwa TU mengine mtanihadithia
  9. S

    Simulizi ya kipelelezi na love story kali ndani yake; The Modern War (Vita ya Kisasa)

    Akikujibu niambie namimi nianze kusoma, hawachelewi kusema "hata Mimi naifata mahali na Kuna majukumu mengine natakiwa kufanya" ila huyu anaonekana fresh, tushauriane Mimi na wewe tusome au tusubirie kwanza ? [emoji2][emoji2][emoji125][emoji125] Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
  10. S

    Taja jina la movie ulioitazama zaidi ya mara 5 lakini bado hujaichoka

    Yaan utakua na wewe akili zako kama za hizo movie, zinatoa stress sana, nami ziko kwenye list. Fugitive Breathing Fire.
  11. S

    Horror movie

    Yule fala wa kko movie zake zinaangaliwa na vichaa tu, hajui maana ya sound za movie
  12. S

    Hizi ndio animation movies kali ambazo sio za kukosa

    Acha uhewa wewe, ukiangalia zingine mbona unatulia na ni uongo?
  13. S

    Msanii gani hauchoki kutazama movie zake

    Wote nyie hamna kitu, mkali kuliko wote Amber Rutty
  14. S

    Hivi mnaoangalia au kupenda movies mnapata raha gani?

    Saw,Wrong turn, Silver Bullet(hii hakuna alishaiona humu)[emoji23],final destination,kitu Jeepers creepers,najua Kuna atakaekuwa you tube kuzicheki Ni balaa
Back
Top Bottom