Asante GENTAMYCINE kwa kutoa yako ya moyoni umetusaidia sana. Tutarekebisha. Huyo mchambuzi ni Abbas Pira, siyo Hassan Kibai. Tutafuatilia uzoefu wa Mzee, ikibidi tuwe naye pia Sibuka FM kwani tumedhamiria kujiimarisha katika habari za michezo. Usimba na Uyanga ni jadi, Mfuga Njiwa na mwenzake...
Tuwe wakweli.
Kwa vile Uchaguzi Mkuu Zanzibar ulihusisha Uchaguzi Mkuu wa JMT kwa kufanyikia kituo kimoja, mawakala wakiwa ni wale wale kutoka vyama vya siasa na maofisa wa ZEC wakiwa ni wale wale kwa niaba ya NEC, mapungufu yoyote yenye uzito wa kufuta Uchaguzi huo kwa mujibu wa ZEC...
Sina uhakika kuwa mafuriko haya maana yake ni KURA. Taarifa zilizotoka jioni hii zinaonyesha kuwa Wapigakura katika Uchaguzi Mkuu unaosimamiwa na NEC huko Zanzibar (exclude unaosimamiwa na ZEC) hawazidi 50,000 kwa Unguja na Pemba. Big test kwa Muungano wetu.
Hawa wasanii au celebrities kutoka Dar licha ya kutojua hali halisi ya maisha ya hao watu wanaowahubiria huko vijijini wanawachanganya tu na kwa kiasi kikubwa wanawashangaa. Kwa vile kwao ni kibarua chenye mshiko kheri yao... uchaguzi umekuwa neema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.