Kwanza niwape pongezi watu wanaotaka ukweli sababu hata wa wa Kibwetere kule Uganda nao walikuwa wakahidi kama nyiyi.
Pili napenda kusema Kanisa la KKKT lina Wachungaji wazuri sana na wacha Mungu, ila wababaishajinkama Mchungaji Kimaro ndio wanapaka wachungaji wenzao Matope.
NAOMBA HOJA HIZI...
Jamani dunia imekwiaha, kuna vijana hapa kanisani kwetu KKKT KARIAKOO mwaka jana walikamata baadhi ya wazee wakiiba sadaka, vijana hao walitumia technologia ya cctv camera kuwanasa hao wezi wa sadaka ambazo kila ibada ulikuwa ni mchezo wao. cha ajabu baada ya wezi hao kukamatwa na kuonyeshwa...
Nawapongeza viongozi wote wa CHADEMA kwa ushupambavu wenu na kuimiri mikikimikiki ya wadhalimu wa nchi hii jipe moyo wananchi tupo nyuma yenu mwishi wao umefika.
Kutaja jina la tu la huyo kigogo unapata kigugumuzi, upepo wa kuwa kibaraka unakuandama wewe, pole sana mwenzako ridhiwani anabunya tu kaa na umbeya wako. Changamka na wewe mle kwa mwisho chadema wakiingia mifereji yote inakatwa.
Nimeamini hata ukisoma upumbavu kama upo upo tu CCTV inategemea na aina ya hiyo camera na setting, so nahic mwigulu na wewe mmezoea kuingia zile GUEST ZINAZOITWA hotel hiz ndio utaona zile Camera za CCTV zimesimama kama mnazi. mimi ni IT Nchemba namuomba aje tution kwa kuwa ni kaelimu kadogo...
Ndani ya CHADEMA kubalika na wanachama tu utapata uongozi awaangilii baba ana pesa kiasi gani au mama yako suala ni kuajibika kwa wananchi mambo ya kununua uongozi waachie CCM. NAKUPA KAZI ZA KUFANYA UKIWA MBUNGE WA SEGEREA VUNJA NYANTARE BAR PAMOJA NA ILE SHELI NI SEHEMU YA SOKO MAKANGORO...
Wacha upuuzi natamani nikuone wa rangi gani kwani kudai haki yake kwa mgongo wa wanawake kosa lake nini? UMETUMWA NINI? AU NA WEWE NI MMOJA WA WALIOMCHUKUA ACHA KUWA KIBARAKA WA WATU UTAENDELEA KUWA MTUMWA MPKA KIAMA. Dada pigana mpaka wakwambia kama vipi omba msaada kwa watu kama sisi tutakusaidia,
Nataka niwatangazie tangu Said ashtukiwe kariakoo imetulia kwa kupaki olela magari yake kwani kabla alikuwa anapaki anavyotaka magari yake na kuziba njia kariakoo nzima bila kuchukuliwa hatua zozote. sasa kariakoo safi gari zake hazizibi tena njia.
Jamani habari ya Said si ya uongo, kwani wafanyabiashara wote wa kariakoo polisi na TRA wakiwakamata na mzigo wakisema mzigo huu unatoka kwa Said wanaachiwa lakini wakisema vinginevyo sero ya msimbazi polisi ya kwako au utoe rushwa ndevu, manake wakubwa wote wanajuwa habari za said, kwa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.