Je unajua nini waasi wa kihutu hao unaowasema ( FDRL) kitu Walichowahi fanya Rwanda? Na bado mango wao ni kurudi Rwanda na kurudia tena, hata mimi nisingekubali...
Kuna mradi uliwahi kusainiwa ijengwe reli kutoka mandarin ya Tanga eneo la mwambani hadi Musoma kupitia Arusha, then Musoma mizigo inachukuliwa na ferry katika ziwa Victoria kwenda Uganda...
Askari magereza ni hatari sana magerezani, kwa hali ilivyo usiombe wewe Polisi upate kesi halafu upelekwe gerezani kama mahabusu au mfungwa...hawa jamaa ni hatari...
DP President Kenya ameondolewa na system ya serikali sio utashi wa bunge!!
Hata hapa Tz system ikikukataa unaondoka mfano Lowasa.
Kwa hiyo Gachagua kaondoka sio kwa utashi wa bunge wala wananchi ila serikali yenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.