Recent content by simbamzee

  1. S

    Ni wakati muafaka kuivunja TISS sasa!

    kwa upande wangu nahisi wewendio hauna angalia sirabu zako zipo sawa sawa au mwl wako wa kiswahili alipiga kanyaga twende................................. elimu ya KKK KUSOMA KUANDIKA KUHESABU naona kuandika kwako ni shida jipime kwanza inawezekana hata kusoma napo hujahelewa mada ni HAKIRI...
  2. S

    Wabunge wa CCM msimuige Hussein Bashe

    hivi nyie ambao hamuoni kama usalama unakuwa mdogo mpaka watekwe baba zenu au mama zenu ndio muone umuhimu wa kusema ukweli kwa huyu mtukufu wenu...........????? sio kwamba hamjui sema mnajiendekeza tumieni akili acheni use****
  3. S

    Serikali ya Rais Magufuli ipo imara na haitishiwi na kelele za bungeni na mitandaoni

    nahisi kama mtoa mada alikuwa ametoka kulala au itakuwa alishawahi kuwa na matatizo ya akili
  4. S

    Ni wakati muafaka kuivunja TISS sasa!

    KWA WANAOSEMA HILI SWALA HALIWEZEKANI NAOMBA WANIAMBIE KWANINI CIA NA WENGINE WAMEWEZA NA SISI TUSHINDWE..............................???? KAMA BUNGENI WATAACHA UCHAMA NA KUSSEMA KAULI MOJA LAZIMA WANYOOKE WAZEE ILA KAMA WATAWEKA U CCM NA UPINZANI...
  5. S

    Ni wakati muafaka kuivunja TISS sasa!

    TATIZO SIO WAT UMISHI KAKA TATIZO NI MFUMO UMEKUFA UNATAKIWA
  6. S

    Bashe: Kuna kikundi ndani ya Idara ya Usalama (TISS) kinahusika na utekaji. Wabunge 11 wapo kwenye orodha ya kutekwa

    Nimeshindwa kukaa kimya nimeamua na mimi kusema ya moyoni ni kweli zama zinabadilika tulikuwa na mwl Nyerere tumepita kote huko kwa sasa tumeangukia hapa tulipo kutokana na uzoefu wangu wa kuijua idara ya usalama ni idara imara sana katika taifa letu na hata watumishi wake walijengwa kwa misingi...
  7. S

    Bashe: Kuna kikundi ndani ya Idara ya Usalama (TISS) kinahusika na utekaji. Wabunge 11 wapo kwenye orodha ya kutekwa

    Kwani lazima uwe mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kuna kuku nyingi za kufuga pamoja na nguruwe njoo huku ufurahie maisha mambo ya kusemwa na unafanya madudu kisha mwanaume mwenzio anakukingia kifua ndio unakuja kuzua maswali ya chumbani sasa.
  8. S

    Polisi wamkamata Tundu Lissu(Mb) akiwa nyumbani kwake Dodoma. Apelekwa Dar, anyimwa Dhamana

    HATUWEZI KUPATA MABADILIKO KATIKA NCHIYETU HII KAMA HATUTAKUWA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NA KAMA MNAELEWA WAKATI YULE JAMAA AMBAYE LEO NI MSEMAJI WA SISIEM ALIKUWA ANALIA SANA NA KATIBA MPYA LEO HII ANAULIZWA SWALI LA KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI ANASEMA KWAMBA KWA SASA WANASHUGHULIKIA...
  9. S

    Polisi wamkamata Tundu Lissu(Mb) akiwa nyumbani kwake Dodoma. Apelekwa Dar, anyimwa Dhamana

    HATOPONA MTU KWA MIAKA MITANO HII ALIANZA NA WANASIASA AKAJA NA BUNGE LIVE KAPIGA WABUNGE AKAJA NA WATUMISHI AKAJA NA WAAANDISHI AKAJA NA MITANDAONI BADO HAJAMALIZIA VIZURI KWANI BADO MNAFANYA SIASA ZA MITANDAO JUZI KAWEKA UKUTA KATI YA WAWAKILISHI YAANI WABUNGE WA SISIEM KULIA NA UPINZANI...
  10. S

    Arusha: Mbunge Lema anyimwa dhamana, arudishwa Magereza na kesi kusikilizwa tena 16 Dec

    1.kuna watu walimtabiria kifo mhe lowassa hawajakamatwa na wala hawajanyimwa dhamana na mpaka leo wapo uraiani wanakula maisha japokuwa wengine wametangulia wao kwanza. 2.kuna watu walitukana waziwazina viongozi wakubwa sana ila mpaka leo wapo wanaishi kwenye mahekalu yao. 3.hivi karibuni...
  11. S

    Arusha: Mbunge Lema anyimwa dhamana, arudishwa Magereza na kesi kusikilizwa tena 16 Dec

    MWENYEZI MUNGU amtetee katika hili ili haki yake isipotee. msikate tamaa wanachama wa chadema naamini MWENYEZI MUNGU yupo upande wa mtu mwenye haki hata kama itachelewa ila itapatikana tu.
  12. S

    Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

    KAKA HIYO KITU ULIYOANDIKA HAPO JUU NI BWOSER????
  13. S

    Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

    haya haya kashaanza na huku kama walivyotabiri wataalamu wa mambo Mwenyezi Mungu amlinde mkurugenzi wetu na ampe ujasiri wa kusimamia kile ambacho anaamini kwa manufaa ya watanzania wote.
  14. S

    Ugonjwa wa Kipindupindu warudi kwa kasi, watu 172 waripotiwa kuugua

    UKWELI NI KWAMBA SERIKALI YETU BADO HAIJAWEKA MSISITIZO KATIKA PREVENTION HATA KAMA UKUANGALIA BAJETI YETU YA AFYA HAINA MASWALA YA PREVENTION HAYAJAPEWA KIPAUMBELE LAKINI TUKIJA KWENYE MATAMASHA YETU YA KIAFYA NDIO WA KWANZA KUSEMA KINGA NI BORA KULIKO TIBA SWALA LA KIPINDUPINDU KATIKA MIKOA...
Back
Top Bottom