Ukitaka kutawala milele jenga jamii ya watu wajinga na masikini.
Kupiga vita umasikini ni kuongeza Wigo wa ajira.
Kuongeza umasikini ni kubana mianya ya ajira.
Baada ya wauza change kwenye daladala na wapiga debe Kifuatacho ni nini?
Sisi tunasema sio Mitano tena ni milele kabisa tafadhali.
Sio Mitano tena ni milele kabisa tafadhali.
Uchumi wa kati....
Nchi hii ni tajiri sana....
Au nasema uongo ndugu zanguuuuu....
Unayajua mavieitee wewe...
Sisi tunatembelea mavieitee...
Wakati wanaumuza wapinzani walitegemea nini???
Mimi naona wasilipwe kabisa maana mapolisi Ndio wamewaweka hao...
Mkuu masheikh wengi wamekamatwa kipindi hiki kuliko hao wa uamsho
Na wale wa uamsho walikamatwa na SMZ kabla lakini sio JMT
Na kesi zao zilikua zinaendelea jamaa alivyoingia amelazimisha kesi zisimame ili wafie jela
Hakuna mtu anataka waachiwe Bali tunataka shauri Lao lirudishwe kortini
Ndio...
Kuna masheikh walifungwa wakati wa nyerere. Wakati wa mwinyi. Wakati wa mkapa. Hakuna wakati wa kikwete isipokua wale wa uamsho lakini walikamatwa na SMZ sio JMT
NA Kwa sasa Ndio masheikh wengi sana wanakamatwa wakati wa utawala huu wa Magufuli halafu hakuna tena kesi kusomwa mahakamani
Wakati...
Mkuu waliletwa bara kwa ajili ya kusikilizwa tuhuma zingine za kubambikuzwa na walikua wanaripoti mahakamani na kulikua kuna dalili za kushinda kesi zote
Lakini join alipoingia akaamrisha kesi zisiendelee kwa sababu ya chuki yake kwa waislamu
Mpaka leo Hakuna mtu anasema waachiwe Bali tunataka...
Hata Kama kuna beberu aliuawa tunataka ushahidi sio eti kwa sababu wale ni masheikh na ni viongozi wa kiislamu Ndio itumike dini yao kuwatesa
Kweli walikamatwa na SMZ kabla lakini walikua wakupelekwa mahakamani na kesi zao zilikua zipo kwenye hatua ya hukumu lakini aliposhika haramu mtu mwenye...
Nimesema sana wapo waliokamatwa kabla ya yeye kua Rais
Lakini walikua wakupelekwa mahakamani na hukumu yao ilikua inakaribia
Lakini alivyo shika haramu na kutokana na chuki alivyokua nayo kwa waislamu na uislamu akaamrisha hizo kesi zisimame na wafie mahabusu
Hivi karibuni viongozi wakuu...
Sio waislamu wote wanampenda wala sio wakristo wote wanamchukia mfano kule Korea kaskazini kwa sababu ya uadui wao na Marekani wengi wanamuona kama shujaa
Hapa Tanzania pia kuna wakristo wanampenda Osama
Kwa hio hili ni jambo la mtazamo binafsi
Tatizo limeanza tangu tuingie Uhuru wa kati nchi nyingi zinatuonea Gere haswa mabeberu
Sisi tunasema
Sio Mitano tena ni milele kabisa tafadhali....
Uchumi wa kati.....
Nchi hii ni tajiri sana....
Au nasema uongo ndugu zanguuuuu...
Hivi mabeberu Wanayajua mavieitee????
Sisi tunatembelea...
Sio Mitano tena ni milele kabisa tafadhali....
Nchi hii ni tajiri sana....
Uchumi wa kati....
Au nasema uongo ndugu zanguuuuu....
Hapa kazi tu....
Unaijua vieite wewe??
Sisi tunatembelea mavieitee!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.