Wo shi niubi
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,268
- 1,652
Sisi watanzania bhana utendaji wetu ni wa kizembe mno, nendeni kwenye ofisi za serikali yaani mtu anaweza akazunguka na karatasi yako week nzima, mbaya zaidi hata kukupa taarifa kuwa tuko kwenye hatua hii au haiwezekani hawa wezi , lazima uwa tafute wewe mwenyewe, watendaji wetu ni wakusukuma hadi dakika za mwisho ndo wanafanya kazi.