CCM KUSABABISHA WATZ TUNAOMBOLEZA KUPOTEZA FURSA YA KUPATA KATIBA BORA NI LAANA KWA VIONGOZI WA CHAMA CHA MAGAMBA
Katiba ni roho ya mfumo wa uongozi wa nchi. Ni ubongo wa kuongoza nchi. Ni msingi wa kuongoza nchi. Ni dira ya kuongoza nchi.
Anayedhuru mchakato wa kupata katiba bora Tanzania ni...
CCM KUSABABISHA WATZ TUNAOMBOLEZA KUPOTEZA FURSA YA KUPATA KATIBA BORA NI LAANA KWA VIONGOZI WA CHAMA CHA MAGAMBA
Katiba ni roho ya mfumo wa uongozi wa nchi. Ni ubongo wa kuongoza nchi. Ni msingi wa kuongoza nchi. Ni dira ya kuongoza nchi.
Anayedhuru mchakato wa kupata katiba bora Tanzania...
CCM KUHUJUMU KURA ZA HAPANA KATIKA BMK WAALANIWE NA WATZ WOTE NA WATETEZI WA HAKI KWA DHAMBI HIYO YA KIHISTORIA.
Watz wenzangu, kura ya siri huwa ni siri, na kura hupigwa mara moja tu kupata maamuzi yanayotakiwa.
kura ya siri kamwe haitowi nafasi ya kujua nani amepiga kura ya mlengo flani...
Ruttashobia wewe ni marehemu wa kufikiri objectively. unatumia tumbo kufikiri baada ya kuweka akili mfuko. huna hoja. ukawa ipo kwa ajili ya watz, ccm kwa ajili ya mafisadi.
thinking yako iko xtremely poor.
Wizi wa ccm kupitia kiongozi wao ktk bmk ulaaniwe. siita kuungana na vijicent kunyonga rasimu ya Watz ili kulinda ufisadi wa ccm.
haikubsriki. huo ni ushetani wa kutisha usiokubarika wala kuvumiliwa.
Samwel Siita na ushirika wa ccm katika Bunge la CCM kitendo mnachokifanya dhidi Watz kuchakachua maoni yetu ni kutunajisi kwa kutulazimisha rasimu ya ccm, kufuja fedha za umma, na kusababisha casualties ambazo umezisababisha wewe ukijipendekeza chama chako cha Magamba ukitaka kikubebe 2015...
Vijana wengi hawajitambui. Ccm tunapaswa kuwadhibiti ccm wasiweze kura hata moja. Tukirejea uchaguzi mdogo chalinze, na kalenga mtakubaliana na mimi kuwa vijana wa Tz wengi ni mazuzu, wanatumiwa kama mishumaa.
Mimi niko Mbeya mjini, nishuka uwanjani nilipokuwa natoka kazin nilikuta mkutano ukiendelea. CCM walijitahdi sana kutafta watu kwa gharama ya fedha, halafu watu wengi sana wanachama wa CHADEMA walikuwa wamesimama kando ya mkutano wakiwachambua ccm wakiwacheka wakiona viongozi wa ccm walivyokuwa...
Hapo patakuwa patamu, CHADEMA Vs CCM round 3. Ile ya Arusha Ma-CCM walipigwa 4-0 CCM wakitoka mikono mitupu. Sasa tunapima sehemu zipi Tanzania zenye maendeleo duni ila bado wanaikumbatia CCM.
CCM lazima ife ili haki na maendeleo vipatikane Tanzania. CHADEME ndiyo chama cha Ukombozi wa masikini...
Kuanzia leo nimeamini ma-ccm ubongo wenu hauwasaidii kitu. hamba utu bali ninyi wanyama. mkiyaeleza hayo hadharani Watz watawakomesha kwa kuwapiga mkome ujina wenu.
hamna hata hofu ya Mungu kutetea wizi na maovu ya ccm kumwaga damu za watz. mmekubali kuwa vibaraka wa ibilisi. subili 2014/2015...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.