Kwa mtazamo wangu naona tuwe wavumilivu hadi wiki ya kuanzia tare 12 hadi 18 mzigo unaweza kuwa hadharani lakini pia tusiziwazie sana maana unaweza kuziwazia ukakuta haupo. Wacheza kamari tunaelewa moment kama hizi tulimpa dotmund kuwa bingwa ila haikuwa hivyo😁
Unaweza fua begi ukija kuangalia pdf haupo bila kujali wewe ni mwaka gani hizi ajira ni kama kucheza kamari yeyote anaweza kupata na yeyote anaweza kukosa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.