Ndugu uliza hoteli za serena, sopa , uliza Mamlaka ya Ngorongoro walivyopata upungufu wa mapato kwa watalii wachache, waongoza watalii wengi wamepewa mikataba ya temporary sio ajira kama mwanzo,uliza wizarani.
Brown nachelea kusema hujui ulichoandika hapo hakuna nia thabiti huenda ikawa wewe sio mtu wa eneo husika, kuna watu walio kwenye eneo hilo wameomba kuangaliwa kwa sheria mzawa kama mzawa unataka kumlipisha dola2000 kama leseni anapata wapi? je shilingi haina maana tena? au tumedharau yetu...
Brown Watanzania wanafanya kadri ya uwezo wao mfano leo nilitaraji serikali yetu iwasaidie wazawa waweze kumiliki biashara ya utalii vema ili hao watu wa nje wabakuki kuwa mawakala huko leo una muuwa huyu mzawa halafu unasema fanyeni kazi ipi?mfano serena atapunguza 50% wafanyakazi kitafuata...
Kaka mwezi wa tano kama sikosei au wa nne waziri wa fedha alipita mikoani kuzungumza na wafanya biashara kwa ujumla wafanya biashara wa utalii walimwomba waziri wakutane nae wapate zungumzia kodi 31 zilizopo kwenye utalii na kuwa stop centre moja ya kodi mfano ulikuwa rahisi kwa bwana mpingo...
Tafiti zilizo fanywa na Tanzania national park kupitia madodoso mwaka 2014/2015 ilikuwa ifuatavyo, kama kutakuwa na ongezeko la tozo hifadhi za Taifa Dola 20 mpo tayari kulipa? jibu ni 100% no dola 10= 100% no dola 5= 80% no 20% maybe dola 1 = labda je huwa wataalamu hawashauri wizara serikali...
Huo urongo unatoka wapi? msichanganye siasa na mambo ya msingi Utalii sio sawa na kuuza nyanya wageni huwa wana book hata miiaka miwili na malipo hufanyika block bookings sasa hilo unalozungumza ni nini? sijui kwanini Mh Rais hakumweka balozi kagasheki kuwa waziri anaelewa kuhusu utalii na ndie...
Bwana Google hustahili kuitwa google hujui unacho sema,kwa mwaka Tanzania tunakuwa na watalii milion moja na laki tisa hiyo ni sensa ya mwaka 2015,hivyo hiyo data ni kweli kuna kampuni ya kupandisha wageni mlima kilimanjaro tarehe 27june walikuwa na cancellation ya wageni 1000 mwezi july hiyo...
Mfano mzuri hii ya juzi INDABA South Africa banda la Kenya lilikuwa mwanzo la Tanzania lilikuwa mwisho shida kubwa ni TTB hawajui wafanyalo wanaacha kuchukua watu makini wahusika na utalii wenyewe wanapeleka watu wa mshahara ambao hawajali nchi kukosa wageni wao wanajua mshahara watapata...
Mkuu Ritz Kwa taarifa mwenye kiwanda wanadai ni kijana yupo marekani ndipo anapoishi ila kila leo Lowasa Lowasa mwacheni mzee wa watu apumzike na mambo yake aje kuwatoa 2020 kwenye uchaguzi ila msm7 Tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.