1. TIMU YA TAIFA
Timu ya taifa ina kocha mkuu yule mzungu ila kwenye mashindano ya CECAFA Tanganyika kupitia kivuli cha tanzania wanamtumia wao yule kocha kwanini musitafute wa kwenu kama zanzibar na wakati huo huo chama cha mpira wa miguu tanzania ndio kinagharamia mambo yote ya timu ya...
Hawa watanganyika hawafikirii na wana mawazo mgando
Tume imependekeza serikali 3 wao wanasema serikali ya tanganyika itabebe mzigo mkubwa ku ifinance serikali yao na ya shirikisho na wao wameshaona zanzibar ni mzigo lakini huo mzigo(ZENJI) Umechoka kubebwa unataka uwekwe chini na yule mbebaji...
Kweli kaka huu si muda wa kumtii mwenye kiti
Na km usemavyo yale mambo yenye mzozo ndio wameyarudishia pale pale kwenye serikali ya muungano
Aisee hapa wamekopi na kupesti
We lengivaje sisi wazanzibar hatumtegemei mtu sisi yumefilisika kwa sababu ya muungano mbona hamujai hewa kila siku wazenji wanataka.kujitenga na nyinyi ila mnakua wagumu jua muungano unawafaidisha coz nyinyi ni tanganyika mulovaa mwavuli wa tanzania wezi wakubwa sisi hatutoi bidhaa hapo tu hata...
Hivi mliwahi sikia kua pemba na unguja imeungana hivi visiwa ni vimoja tangea hiyo tanganyika haipo so huo wenu ni uchochezi
Visiwa hivi ukisikia ni vya aljazeera ambavyo nabii suleiman alikua akivitumua ni hivi hivi. Sisi tunataka tutengane na nyinyi tukae kivyetu
Variompa corione
Mnaosema iwe serikali moja basi iwe ni serikali ya mapinduzi ya zanzibar sisi zanzibar tumepindua sio kama nyinyi kwa makaratasi na mnaosema serikali mbili basi iwe jamhuri ya watu wa zanzibar na jamhuri ya tanganyika kisha kama mnataka kushirikiana basi tucheki mambo fulani tushurikiane kwa...
Zanzibar sio wavivu habana si watu wa kujipa tabu sana na ndio maana huwezi kukuta mzanzibar mkoa wowote akiwa akifanya kibarua wa kulima lakini zanzibar ndio kazi yao kubwa watu wa kule ushirombo runzewe na maeneo mengine niambie kua ni uongo wewe
Jee wanajua hao kuwa zanzibar imeendelea mwanzo kuliko nchi nyingi kusini mwa jangwa la sahara na ndio maana vita ya pili ya dunia ilitoa msaada wa ndege ya kuvita i think it was 1945
Ukweli unauma kaka waambie hadi sasa zanzibar kuna meli ziletazo gari nje na si kungineko but bara kuna gari zinazotoka nje na zinazotoka zanzibar sahv ni biashara kubwa ya magari zenji na watu toka bara malawi uganda burund na n.k na kwa taarifa kama sio huo ushuru dar walioweka kwa bidhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.