Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Hivi Katika Muungano tuliona nao sasa tukipunguza hayo mambo ya muungano na kuwa 7 kutoka kwenye 22+ ya sasa kama ilivyopendekezwa na tume ya Warioba na kubaki na Serikali mbili... Hii iko je?
Kwa sababu mzigo wa Serikali tatu utaiangukia Tanganyika ndio maana wenye uzoefu wanaona ita-wa-cost Tanganyika zaidi kwa kuwa practically wao ndio watakuwa wana-i-finance serikali ya muungano... alafu tena ya kwao ya Tanganganyika ambayo in reality zitakuwa zinakaribiana kwa ukubwa.
Toa Hoja, Usipige Kelele.
Kwa sababu mzigo wa Serikali tatu utaiangukia Tanganyika ndio maana wenye uzoefu wanaona ita-wa-cost Tanganyika zaidi kwa kuwa practically wao ndio watakuwa wana-i-finance serikali ya muungano... alafu tena ya kwao ya Tanganganyika ambayo in reality zitakuwa zinakaribiana kwa ukubwa.
Toa Hoja, Usipige Kelele.