Recent content by Silver-Nitrate

  1. S

    Ubaguzi huu wa kielimu ni wivu baada ya shule za serikali kukimbiwa, tutazalisha vilaza (gvnt school) badala ya vichwa

    Kwan Hili Dr.John Pombe Magufuli yuko sahihi mno! Mikopo iliwekwa kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi waliotoka familia duni zisizoweza kumudu gharama za elimu ya juu. Itakuwa ni wendawazimu kumpatia mkopo mwanafunzi aliyesoma smile binafsi kwa ada ya shilingi milioni tano huku ukimwacha...
  2. S

    Mwalimu wa Chemistry na Biology

    Acha tungoje neema.
  3. S

    Mwalimu wa Chemistry na Biology

    Habarini Wanajamvi. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25. Nina Shahada ya awali(Bachelor's Degree) ya Sayansi na Elimu katika masomo ya Kemia na Baiolojia. Ninatafuta kazi ya ualimu wa masomo tajwa hapo juu katika Shule za sekondari,Shule za msingi za mchepuo wa kiingereza na Vyuo...
  4. S

    Hizi tofauti za majina zitaleta msiba kwa watumishi kusema hata nukta isitofautiane na payroll

    Kiswahili kigumu mkuu! Mdau kashindwa kupata maana.
  5. S

    Hizi tofauti za majina zitaleta msiba kwa watumishi kusema hata nukta isitofautiane na payroll

    Bila shaka ina maana ana hakika na si kama ulivyotafsiri! Kiswahili.
  6. S

    Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

    Kuwa makini Boss, wengine kule ni vidume na wameshajipatia njia rahisi ya kupiga pesa!
Back
Top Bottom