Kwan Hili Dr.John Pombe Magufuli yuko sahihi mno! Mikopo iliwekwa kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi waliotoka familia duni zisizoweza kumudu gharama za elimu ya juu.
Itakuwa ni wendawazimu kumpatia mkopo mwanafunzi aliyesoma smile binafsi kwa ada ya shilingi milioni tano huku ukimwacha...
Habarini Wanajamvi.
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25. Nina Shahada ya awali(Bachelor's Degree) ya Sayansi na Elimu katika masomo ya Kemia na Baiolojia.
Ninatafuta kazi ya ualimu wa masomo tajwa hapo juu katika Shule za sekondari,Shule za msingi za mchepuo wa kiingereza na Vyuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.