Recent content by Silent King

  1. Silent King

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu aendelea kujitetea - Agosti 24, 2026

    Sasa kumbe ulikuwa unajua,sasa kilichokufanya useme ulichosema pale mwanzo ni nini?
  2. Silent King

    JamiiForums Tanzania Kwanini Yeriko Nyerere ana chuki ya kiwango cha juu dhidi ya Tundu Lissu?

    Nimeopenda hii
  3. Silent King

    JamiiForums Tanzania Watu wanne ambao unatakiwa kuwasamehe kwenye maisha yako

    Nimeipenda hii
  4. Silent King

    JamiiForums Tanzania Watu wanne ambao unatakiwa kuwasamehe kwenye maisha yako

    Nakubaliana na wewe wasamehe halafu ishi nao kitaalamu
  5. Silent King

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu ananipenda akiwa na shida, akipata pesa anabadilika

    Hapo hakuna mpenzi,hiyo ni redflag tosha kabisa Usiseme hatukukwambia
  6. Silent King

    JamiiForums Tanzania Watu wanne ambao unatakiwa kuwasamehe kwenye maisha yako

    Sasa ukishasema ili wajue,tunarudi pale pale kwamba tunafikiria tunawakomoa lakini kiuhalisia ni sisi ndio tunaathirika,unless kama hauhisi guilt kabisa
  7. Silent King

    JamiiForums Tanzania Watu wanne ambao unatakiwa kuwasamehe kwenye maisha yako

    Wa kwanza ni wazazi wako, Yes wazazi wako,wazazi wetu kwa namna moja au nyingine kwenye makuzi yetu kuna mambo ambayo huenda sio kwa ubaya au bila wao wenyewe kujua,tunajikuta wametukwaza sana na kutuachia majeraha makubwa sana. Tumekuwa tukiwalaumu,tukiwa chukia na saa nyingine kutopenda kuwa...
  8. Silent King

    JamiiForums Tanzania Mvuto wa Ajabu: Watu, Watoto na Wanyama. Mabaya yapo pia

    You can teach a person through your behavior Kwa kawaida hasira haileti uzingatiaji wa mambo,sana sana una backfire mambo Kumdis mtu haimanishi your powerful but your very weak Lower your ego na act in a positive way
  9. Silent King

    JamiiForums Tanzania Mvuto wa Ajabu: Watu, Watoto na Wanyama. Mabaya yapo pia

    Bro salute kwako,najifunza kutoka kwako,una kitu ambacho tunabarikiwa
  10. Silent King

    JamiiForums Tanzania Mvuto wa Ajabu: Watu, Watoto na Wanyama. Mabaya yapo pia

    ✍️✍️
  11. Silent King

    JamiiForums Tanzania Mvuto wa Ajabu: Watu, Watoto na Wanyama. Mabaya yapo pia

    Unajua nguvu hasa inatoka wapi? Nguvu hasa ni kuwa cool na composed wakati wa changamoto,kero na maudhi That is where the true strength is,work on that part,you will thank me later Kuwa mwepesi wa hasira ni ishara ya kuwa weak
  12. Silent King

    JamiiForums Tanzania Mvuto wa Ajabu: Watu, Watoto na Wanyama. Mabaya yapo pia

    Hapa kwenye first impression matter umenikumbusha mbali sana Kuna dada mmoja nilikuwa nafika lodge yao kila nikienda kwenye mishe huko mkoani Baada ya kuanza kubadilishana energy sijui ni hasi au positive,siku moja ananiambia "yani siku ya kwanza kukuona tu nilitokea kukuelewa sana" 🤣🤣
Back
Top Bottom