Nimekuchapa umekimbiq, nae namchapa pia mkimbie wote
Alafu kwann uliganishe simu za miaka tofaut?? 13 pro max iende na s22 ultra na sii vingine
Sasa jamaa amekiri s21 ina vitu inazid 13 pro max.. fikiri 22 ultra itakuaje.?
Weka hapo kitu ambacho 13 pro max anamsizid samsung s22 ultra.. weka mezani sio mtazamo ,
NB. s21 ultra n toleo moja na iphone 12 promax, linganisha vitu vinavyo fanana, 13 pro max iende na s22 ultra
Samsung n Samsung period, just imagine 21 kuna vitu umekiri imezid 13 pro max je s22...
Narudia n matunzo ya mtu, simu zangu siwekag protector na hazijawah kupata hata scratch tu na hakuna watu wana simu zimelika pemben ya vioo kama watu wa iphone
, eti unaongoza , kwamba ujisemeee tu upuuz alafu useme unaongoa
Fact n kama
Ram , leo iphone 14 zina RAM 4 mpaka 6 , wakati...
We takataka nani kuambiwa wamepewa? Hao wamepigana kuchukua eneo kwa jeshi lao wenyewe
Sawa na leo joseph konyi aingie madarakan utasema kuna wanajeshi bla bla, mtu amepigana akatwaa eneo hajapewa ni mali uake binafsi na kama unalitaka na ww kapigani
Ni kama saudia, wamepigana wakatwaa eneo...
Haya ni matunzo ya mtu binafsi , wala haina uhusiano wowote na ubora , ww kama unadosha dondosha simu yako ikapasuka kuna uhusiano gani na ubora? Au umekanyaga na gari moja ikasalimika??
Ndio maana unaona marue ruwe
S9 toleo la 2018 unalinganisha na simu toleo la 2020? I phone 12 lmganisha na samsung galaxy s20, hakuna kitu unasogelea hapo
Hakuna iphone yeyote inayo izidi chochote Galaxy s22 ultra iliyopo sokon kwasasa
Hata hizo iphone 14, hakuna kitu inaizidi samsung galaxy s22
Mnaenda nunua Samsung A series mnazitumia kama kipimo, njoo kwenye galaxy S series huku
Usiseme simu za bei Mbaya, sema Iphone
Sisi watumiaj wa samsung simu zetu hazina kitu cha kuifanya jamii wakiona wajue ile n samsung aina flan, mwingine anaweza hisi una infinix
Wanaofaham matoleo ya samsung n sisi watumiaj wenyewe na tupo wachache
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.