Jaman huko mlikofka siko,nacte,tcu,ukilaza,yote ni mipango ya mwenyez mungu mwenye uwezo wa kupanga na kupangua tusifikie sehem ya kuwaona wengne vilaza mbona wapo wengi wametoka TCU na tunasubri nacte kwa sasa hujawahi kujiuliza kwa nn? Tuwe wamoja maisha ni safari ndefu milima na mabonde yapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.