Recent content by sIkIo

  1. S

    Mimi kupigana na Msigwa ni kutafuta kesi ya mauaji. sijashkana naye shati na sitaraji

    Hivi wewe ndiyo kiongozi wetu wa nchi, unatamka maneno hayo? Mbona viongozi wetu hamna weredi?
  2. S

    Kwa tabia hii ya uongo na uzandiki Mbowe hafai kuendelea kuwa kiongozi wa chama cha siasa

    Yaani kwa mbowe mi nimefika bora mbowe kuliko huyo Jk.
  3. S

    Mwanafunzi chuo kikuu UDSM apigwa risasi- Afariki

    Hili tatizo halijaanza leo nakumbuka toka mwaka juzi, pale hall 6 pamekaa vibaya ni karibu kila wiki lazima majambazi wapore, lakini chakushangaza mkandala mwenyewe yupo kimya, hata kuchukua hatua zozote!! Auxilliary police wenyewe wapo kama hawapo vile.
Back
Top Bottom