Achana na huyo,kaa tulia sort kitu kingine taratibu ukiona vigezo uvipendavyo oa,ndoa ni amani ndani ya familia ,kama hakuna aman ujue hapo hakuna ndoa.ukimung'ang'ania anaweza kukuua kwa sumu ili abaki na ampendae kwa sasa.amini usiamini ukimuacha utapata mwenye mapendo ya kweli na utahisi kuwa...
Amini kuwa muda ulioupoteza kuwa na huyo binti ungekuwa umetulia na mkeo Ungekuwa mbali zaidi na mambo mengi umepoteza bila kujua,wengi huzani kuwa wanawapotezea muda mabinti kumbe hata wao pia hujifunga kimawazo na kifikra na kufeli kimaisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.