Recent content by Sijapewa username bado

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    Daah huenda kuna mstari mwembamba sana, kati ya udhaifu na kupenda mkuu?
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    Mke wa ndoa, namtafutiaje mtoto wa nje?
  3. S

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    Kwahiyo kwa sasa nifanyaje sasa?
  4. S

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    How mkuu? Mana hilo jambo lazima liwe la makubaliano
  5. S

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    Nashangaa sana mkuu, angenieleza mapema
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    Wanajukwaa, hali zenu jamani Sasa ndugu zangu naomba niwaeleze kuwa Ndoa yetu ina miaka miwili sasa, na tangu tufunge ndoa na Mke wangu nimekuwa na hamu kubwa ya kupata mtoto. Lakini hivi karibuni nilimwambia mke wangu, Neema, kuwa nahisi umefika wakati wa kuanzisha familia. Lakini aliniambia...
  7. S

    JamiiForums Tanzania RESOLVED Tunashukuru Ofisi za Uwakala wa mabasi zimefunguliwa Dodoma

    Tunashukuru kwa kutupazia sauti Mawakala wa Mabasi hapa Mkoani Dodoma tumefunguliwa ofisi zetu, uamuzi huo ulifanyika muda mfupi baada ya taarifa yetu kusambaa Mtandaoni, wakatufungulia jana jioni (Septemba 11, 2026). Waliofunga hawakuja kufungua waliwapigia simu viongozi wetu na kuwapatia...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Siku hizi maneno kama "umekonda sana" au "umenenepa sana" yamekuwa kama salamu kwenye comments

    I Yani kuzeeka imekuwa kama suala la aibu eti. Mtu asiishi maisha yake. Ina discourage sana
  9. S

    JamiiForums Tanzania Siku hizi maneno kama "umekonda sana" au "umenenepa sana" yamekuwa kama salamu kwenye comments

    Wakuu Hivi inakuwaje mtu unajipost tu ghafla watu waaanza kusema "oooh mbona umeisha hivyo, huli?" "Mbona umenenepa sana?" "Duuh mbona umebaki kichwa tu?" Hii tabia inakera sana wakuu ifikie mahali tuachane na hizi comments zinaathiri kisaikolojia na wakati mweingine zinamuondolea mtu...
  10. S

    JamiiForums Tanzania KERO Kutufungia ofisi za Uwakala Dodoma si sawa, mnatakiwa ku-deal na Watu wa mabasi, sisi kazi yetu ni uwakala tu

    Tangu Septemba 8, 2026, zaidi ya Ofisi 100 za Mawakala wa mabasi zilizopo CBE, Area C, Maghorofani, Bahi Road zimefungwa, shughuli zimesimama kwa zaidi ya Saa 60 sasa, cha kushangaza, ofisi hizi kazi yake kubwa ni kukatia abiria tiketi, hivyo tunajiuliza kwa nini mawakala wote wamefungiwa wakati...
  11. S

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Je, bawasiri inasababisha au ni chanzo cha upungufu wa nguvu za kiume?

    Wakuu nimekutana na haya madai kuwa upungufu wa nguvu za kiume unaweza kusababishwa na ugonjwa wa Bawasiri.
Back
Top Bottom