Recent content by Sijapewa username bado

  1. S

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD: Uzi maalumu kwa wapenzi wa usafiri wa anga

    Ndege kubwa ya kwanza ya umeme yafanya safari ya majaribio. Kampuni ya Heart Aerospace imefanikiwa kurusha ndege yake ya majaribio ya X1 yenye ukubwa kamili kwa mara ya kwanza, na kukamilisha safari ya majaribio ya dakika 27 kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Plattsburgh huko New York...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Wachimbaji madini nchini wamenunua picha moja kwa Tsh Bilioni 1.8 kwa ajili ya kumpa zawadi, Rais Samia Suluhu Hassan

    Nakubali mkuu nitainunua picha yako ya DP kwa Bilioni 2
  3. S

    JamiiForums Tanzania Mnaoandika mali zenu kwa majina ya wazazi kuna ujumbe wenu hapa? Je, ni sahihi kuandika mali zako kwa majina ya wazazi wako?

    Mali zikiwa kwa jina la mama yako ndugu zako au mumewe wanayo nafasi ya kuzi demand kwa kuwa zinasoma kuwa ni za mama yako
  4. S

    JamiiForums Tanzania Wachimbaji madini nchini wamenunua picha moja kwa Tsh Bilioni 1.8 kwa ajili ya kumpa zawadi, Rais Samia Suluhu Hassan

    Sababu ishaelezwa mkuu soma vizuri 😂 "Rais Samia ameeleza kuwa picha hiyo ina historia kubwa katika maisha yake jambo ambalo limewavutia zaidi Wachimba madini nchini Tanzania kwa umoja wao na kuamua kununua picha hiyo kwa kiasi hicho."
  5. S

    JamiiForums Tanzania Wachimbaji madini nchini wamenunua picha moja kwa Tsh Bilioni 1.8 kwa ajili ya kumpa zawadi, Rais Samia Suluhu Hassan

    Wachimbaji madini nchini wamenunua picha moja kwa ajili ya kumpa zawadi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Samia Suluhu Hassan kwa thamani ya Shilingi Bilioni 1.8. Wachimbaji hao wamenunua picha inayowaonesha Pomboo (Dolphin) wakiwa ndani ya maji Kizimkazi. Katika hafla ya usiku wa sanaa...
Back
Top Bottom