Wanajukwaa, hali zenu jamani
Sasa ndugu zangu naomba niwaeleze kuwa Ndoa yetu ina miaka miwili sasa, na tangu tufunge ndoa na Mke wangu nimekuwa na hamu kubwa ya kupata mtoto. Lakini hivi karibuni nilimwambia mke wangu, Neema, kuwa nahisi umefika wakati wa kuanzisha familia.
Lakini aliniambia...
Tunashukuru kwa kutupazia sauti Mawakala wa Mabasi hapa Mkoani Dodoma tumefunguliwa ofisi zetu, uamuzi huo ulifanyika muda mfupi baada ya taarifa yetu kusambaa Mtandaoni, wakatufungulia jana jioni (Septemba 11, 2026).
Waliofunga hawakuja kufungua waliwapigia simu viongozi wetu na kuwapatia...
Wakuu
Hivi inakuwaje mtu unajipost tu ghafla watu waaanza kusema
"oooh mbona umeisha hivyo, huli?"
"Mbona umenenepa sana?"
"Duuh mbona umebaki kichwa tu?"
Hii tabia inakera sana wakuu ifikie mahali tuachane na hizi comments zinaathiri kisaikolojia na wakati mweingine zinamuondolea mtu...
Tangu Septemba 8, 2026, zaidi ya Ofisi 100 za Mawakala wa mabasi zilizopo CBE, Area C, Maghorofani, Bahi Road zimefungwa, shughuli zimesimama kwa zaidi ya Saa 60 sasa, cha kushangaza, ofisi hizi kazi yake kubwa ni kukatia abiria tiketi, hivyo tunajiuliza kwa nini mawakala wote wamefungiwa wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.