Ndege kubwa ya kwanza ya umeme yafanya safari ya majaribio.
Kampuni ya Heart Aerospace imefanikiwa kurusha ndege yake ya majaribio ya X1 yenye ukubwa kamili kwa mara ya kwanza, na kukamilisha safari ya majaribio ya dakika 27 kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Plattsburgh huko New York...
Sababu ishaelezwa mkuu soma vizuri 😂
"Rais Samia ameeleza kuwa picha hiyo ina historia kubwa katika maisha yake jambo ambalo limewavutia zaidi Wachimba madini nchini Tanzania kwa umoja wao na kuamua kununua picha hiyo kwa kiasi hicho."
Wachimbaji madini nchini wamenunua picha moja kwa ajili ya kumpa zawadi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Samia Suluhu Hassan kwa thamani ya Shilingi Bilioni 1.8.
Wachimbaji hao wamenunua picha inayowaonesha Pomboo (Dolphin) wakiwa ndani ya maji Kizimkazi.
Katika hafla ya usiku wa sanaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.