Recent content by sijali nkinda

  1. sijali nkinda

    Jumla ya pesa zote Benki ni shilingi ngapi?

    Jamani mimi nataka kujua hivi Tanzania inamiliki pesa jumla kiasi gani?. Nataka nichukue jumla ya pesa zote Tanzania nigawe Kwa idadi ya watu nchini halafu tujue wastani kila mtu anatakiwa na kiasi gani. Hii itasaidia kuweka wazi hata Kwa sheria kwamba kila mtu nchini Tanzania anatakiwa kumliki...
  2. sijali nkinda

    Waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu 2015/2016-UDOM

    hiwezekan kabisa yaan wamedhamin ukapewa na mkopo mara dufu wakitegemea ww lazima uwe mwalim halafu unabadilisha tehetehe hio wanazingua kabisa
  3. sijali nkinda

    Link inayoonyesha matokeo ya Kidato cha Pili

    website haipo ila mimi natumiaga website yangu na huwa ninafakiwa. inaitwa http/kaangaliemwenyeweshulenikwako/go.tz
Back
Top Bottom